real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Helkopta iliyokuwa imebeba watu 5 waliokuwa wanaenda kwenye mkutano wa siasa imeanguka ziwa Nakuru muda mchache baada ya kuondoka kwenye hoteli iliyopo mji wa Nakuru
OCPD wa Nakuru Joshua Omukatta alithibitisha tukio hilo nakusema walikuwa wanasubiria boti ya uokoaji kwenda eneo la tukio
Taarifa za awali zinasema watu 5 walikuwa ndani ya Helkopta hiyo, Seneta wa Nakuru Susan Kihika alisema watu watatu waliokuwemo kwenye ndege hiyo walikuwa kwenye timu yake ya mawasiliano
=========================================================
A helicopter has crashed in Lake Nakuru shortly after take off from a hotel in the town.
Nakuru OCPD Joshua Omukata confirmed the incident saying they were waiting for a boat to conduct the rescue as the chopper crashed inside the lake.
Unconfirmed reports indicate that there were five people on board.
Nakuru Senator Susan Kihika said three of those on board (names withheld) were members of her communication team.
The aircraft had left Jarika Hotel and sources say it was flying low before it crashed.
The chopper was to later ferry more journalists to a campaign rally.
Source: Daily Nation
OCPD wa Nakuru Joshua Omukatta alithibitisha tukio hilo nakusema walikuwa wanasubiria boti ya uokoaji kwenda eneo la tukio
Taarifa za awali zinasema watu 5 walikuwa ndani ya Helkopta hiyo, Seneta wa Nakuru Susan Kihika alisema watu watatu waliokuwemo kwenye ndege hiyo walikuwa kwenye timu yake ya mawasiliano
=========================================================
A helicopter has crashed in Lake Nakuru shortly after take off from a hotel in the town.
Nakuru OCPD Joshua Omukata confirmed the incident saying they were waiting for a boat to conduct the rescue as the chopper crashed inside the lake.
Unconfirmed reports indicate that there were five people on board.
Nakuru Senator Susan Kihika said three of those on board (names withheld) were members of her communication team.
The aircraft had left Jarika Hotel and sources say it was flying low before it crashed.
The chopper was to later ferry more journalists to a campaign rally.
Source: Daily Nation