palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Zimepotea??? What does this mean??
Zimepotea??? What does this mean??
hahahahWe hujui Mgombea wetu ana ulinzi maalumu?
hahahah
Hizo herikopta hazina GPS au rubani hakujua anatakiwa kutua kwenye longitudo la latitudo gani?
Kazi likweli?
habari za helikopta kushindwa kutua si za kizushi, ni za kweli, ndio maana ukaambiwa alilazimika kwenda kwa magari ya serikali!:becky:
uzushi tu tembelea hapa :MICHUZI
Upuuzi wa kitoto! Hakuna utumbo kama huu!Mtaalam Yahaya Hussein hajazikinga hizo? Wazee wa Lupembe wameziteka!!! Lazima kamati ya kampeni wachinje mbuzi leo usiku na umeme kuzima nchi nzima kama wakati ule jamaa alianguka jangwani akihitimisha kampeni!!! Recall back!! Mungu anakasirika kila wakati!!! Bow to him na si kwa kina Yahaya matapeli. Kweli ukiona kiongozi wa nchi na Ikulu yake inaamini katika utabiri basi jua ni hatari sana. Ngoja waloge na wapiga kura siku ya uchaguzi wanaona kivuli cha mgombea mmoja tu!! Ha ha ha wana maombi ni lazima muanze kukemea kwa jina la Yesu.
zote 3? maana kweli CCM wezi, chopa 3 kumkapenia mtu 1, daaaaaaaah wakati Mwenza full kula vumbi na magari?
:confused2::confused2::confused2: