MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
CCM imekodi HELIKOPTA TATU kutoka Nairobi, Kenya, ambazo zinatumika kwenye kampeni ya kutafuta Urais ya JK. Gharama za kukodisha helikopta hizo ni Dola za Kimarekani 5,000 kwa kila saa moja, haijalishi kama helikopta inaruka hewani au imetua hadharani.
Kwa siku 70 zilizopita, tayari hesabu ni hizi:
$5,000 X 24 (hours) X ...3 (helicopters) X 70 (days) = $25,200,000!
Zingegenjwa zahanati ngapi au vituo vingapi vya afya?
Wangeajiriwa walimu wangapi wa shule sekondari/msingi?
Zingenunuliwa ambulensi ngapi?
Yangejengwa madarasa mangapi pamoja na kuyawekea madawati yake?
Zingejengwa barabara ngapi?
Wangeajiriwa matabibu wangapi na wauguzi huko vijijini?
Bado tunahitaji sababu ya kumchagua JK? Bado tuna sababu ya kuirejesha madarakani CCM na wabunge wake?
Kwa siku 70 zilizopita, tayari hesabu ni hizi:
$5,000 X 24 (hours) X ...3 (helicopters) X 70 (days) = $25,200,000!
Zingegenjwa zahanati ngapi au vituo vingapi vya afya?
Wangeajiriwa walimu wangapi wa shule sekondari/msingi?
Zingenunuliwa ambulensi ngapi?
Yangejengwa madarasa mangapi pamoja na kuyawekea madawati yake?
Zingejengwa barabara ngapi?
Wangeajiriwa matabibu wangapi na wauguzi huko vijijini?
Bado tunahitaji sababu ya kumchagua JK? Bado tuna sababu ya kuirejesha madarakani CCM na wabunge wake?