MoPlan
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 908
- 660
Kwanza wanawatimulia vumbi tu ndugu zangu...
CCM na jeykey 2010 waliwatimulia maboksi,ya hela??!! Kweli we jury zima hovyo!!!
Kwanza wanawatimulia vumbi tu ndugu zangu...
Kwanza wanawatimulia vumbi tu ndugu zangu...
2. Hatutaki kuona watu wasiokuwa na shughuli maalumu wanapitapita katika maeneo ya kupigia kura.
3. Siku ya uchaguzi si siku ya kampeni. Hatutaki kuona helikopita za vyama vyote zenye kuashiria kufanya kampeni.
AHSANTENI SANA.
Cheap bargaining ...................wadanganye wajinga!
PoliCCM kazini, hamna lolote, ndio kwanza nakwenda Kalenga kulinda kura, Meter 100. Wewe huniambii chochote.Ni mpuuzi pekee anayeweza kuwatuhumu wanahabari kisha mwishoni anawasifu
Ni ujinga kufikiri Helkopta zikiruka angani basi moja kwa moja ni kampeni.
Ni uhayawani kufikiri kuwa watu wengine hawaruhusiwi kwenda popote siku ya uchaguzi .Ni kuvunja katiba ya nchi
Haya majibu yenye sura ya kukisaidia kitengo cha propaganda cha CCM ni muendelezo ya ghiliba za kisiasa na matumizi mabaya ya vyombo vya dola kisiasa.
helkopta itarushwa angani kama kawa ila itakuwa haina bandiko lolote la chama, pili hiyo siku siyo ya kampeni hivyo helkopta itasaidia kubeba mwakilishi wa chama kwa kila kituo, tatu hata chichiem wakitaka watabebwa na hiyo helkopta, nne sheria za uchaguzi zitafuatwa na cyo amri za wasiojua sheria ya uchaguzi.
Ni halisi nimeiskia mwenyewe kupitia ebon fm na ndivo isomekavyo...Taarifa feki
cha kushangaza sasa... hata waandishi hawakupewa nafasi ya kuuliza maswaali... bali waliambiwa mwisho wa taarifa nawatakia utekelezaji mwema.PoliCCM kazini, hamna lolote, ndio kwanza nakwenda Kalenga kulinda kura, Meter 100. Wewe huniambii chochote.
Naskia akija bongo anajidai kweli kumbe mbeba pampus za akina mama na watoto...... teh teh teh....wangekuwa ndugu zako,muda huu ungekuwa unafua chu.pi za nape mkuu?
Kwani kwenu hakuna wanawake mpaka unitukanie dada zangu?Usijifanye mgeni wa Kalenga (or Mufindi) ..pale kiangazi ni baridi kwa sana na vumbi ndio poda ya dada zako wa kinyalu
Kwani kwenu hakuna wanawake mpaka unitukanie dada zangu?
Ulizaliwaje wewe?