Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
HELIKOPTA ilitu uwanjani kubeba majeruhi baada ya kutokea vurugu katika mechi ya soka Brazil jukwaani baina ya mashabiki.
Mchezo kati Atletico PR na Vasco da Gama, ulisimamishwa Jumapili baada ya mashabiki kuanza kupigana wenyewe kwa wenyewe. Mashabiki waliokuwa wanapigana ilibidi watenganishwe na Polisi wa kutuliza ghasia kwa kuwafyatulia mabomu.
Mchezo huo ukaanza tena baada ya saa moja na dakika 10 za kusimama kupisha vurumai.
Tukio hili ni baya kwa Brazil, na litaifanya nchi hiyo ijipange kwa matukio ya aina hiyo wakati wa Fainali za Kombe la Dunia.
Hatari: Vurugu zilizotokea jukwaani baina ya mashabiki zilisababisha helikopta itue kuchukua majeruhi
Hii ni kuashiria tahadhari kubwa inapaswa kuchukuliwa wakati wa Kombe la Dunia
Shocked: Luiz Alberto said that he saw a young person being hit with blocks of wood and kicked