Helikopta yatua uwanjani brazil kubeba majeruhi baada ya vurugu kubwa kutokea mechi ya vasco da gama

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
HELIKOPTA ilitu uwanjani kubeba majeruhi baada ya kutokea vurugu katika mechi ya soka Brazil jukwaani baina ya mashabiki.
Mchezo kati Atletico PR na Vasco da Gama, ulisimamishwa Jumapili baada ya mashabiki kuanza kupigana wenyewe kwa wenyewe. Mashabiki waliokuwa wanapigana ilibidi watenganishwe na Polisi wa kutuliza ghasia kwa kuwafyatulia mabomu.
Mchezo huo ukaanza tena baada ya saa moja na dakika 10 za kusimama kupisha vurumai.
Tukio hili ni baya kwa Brazil, na litaifanya nchi hiyo ijipange kwa matukio ya aina hiyo wakati wa Fainali za Kombe la Dunia.
article-2520380-19F6D4A900000578-407_634x374.jpg


Hatari: Vurugu zilizotokea jukwaani baina ya mashabiki zilisababisha helikopta itue kuchukua majeruhi
article-2520380-19F6FFFE00000578-356_634x357.jpg
Mashabiki waliojeruhiwa wakibebwa kupelekwa kwenye helikopta

article-2520380-19F6E42400000578-634_634x409.jpg
Wanatenganishwa: Polisi waliwafyatulia mabomu mashabiki ili kuwatenganisha
article-2520380-19F6F38700000578-197_634x425.jpg
Mashabiki wa Atletico wakimtimba mateke shabiki wa Vasco da Gama


article-2520380-19F6F98400000578-776_634x359.jpg
Hofu: Binti aliyeshika mpira akilia wakati wa vurugu hizo
article-2520380-19F6F8DC00000578-709_634x336.jpg
Helikopta ilitua uwanjani kuokoa majeruhi
article-2520380-19F6FABF00000578-738_634x330.jpg
Mashabiki wakichukuliwa ajili ya huduma ya kwanza baada ya kuumia

article-2520380-19F6F60200000578-952_634x348.jpg

Hii ni kuashiria tahadhari kubwa inapaswa kuchukuliwa wakati wa Kombe la Dunia
article-2520380-19F6E55500000578-629_634x506.jpg

Shocked: Luiz Alberto said that he saw a young person being hit with blocks of wood and kicked
article-2520380-19F6F1EB00000578-590_634x450.jpg
Brutal scenes: The match was, astonishingly, restarted after an hour and ten minute break
article-2520380-19F77C9E00000578-853_634x427.jpg
Intervention: Police fire rubber bullets and try to drag the injured man aw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom