EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Tunajadili Jairo aliandika barua kwa idara za wizara kuchanga hela za kuhonga ili bajeti ipite
Tunasahau jambo muhimu la kuuliza hilo fungu limemegwa kutoka bajeti ipi ya wizara
isije kuwa ni zile za kununulia mafuta ya mitambo ya IPTL labda ndiyo maana imezimwa.
Tunasahau jambo muhimu la kuuliza hilo fungu limemegwa kutoka bajeti ipi ya wizara
isije kuwa ni zile za kununulia mafuta ya mitambo ya IPTL labda ndiyo maana imezimwa.