hivi mchana kama hivi unakunywaga kinywaji GANI vile nikuagizieHahaha mi niliambiwa nimeshinda vodaduka hivyo nitume laki wanisajili kwaajili ya kupewa duka la vodacom.
Nimesoma msg nikaruka hewani.
Akapokea jamaa alivyoskia sauti yangu tuu akacheka afu akaniambia kummanina weee akakata.
Nahisi ni mtu alikuwa ananijua ila hakujua kwamba anaetaka kumtapeli ndio aliemfundisha utundu wa kutumia simu.
Niagizie balimi tuuhivi mchana kama hivi unakunywaga kinywaji GANI vile nikuagizie
Hao mafala huwa wamesomea matusi, ukimgundua na kumuumbua huwa wanamwaga radhi balaaLeo nikiwa zangu home na simanzi nzangu za kumuenzi baba wa taifa mara simu yangu ikaita kuanzalia naona namba ya tigo nikapokea NASIKIA sauti kutoka Voda huduma KWA wateja na namba yao ya tigo huyo mkaka KANIAMBIA kana mteja kakosea kutuma pesa 47000 imeingia kwenye account yangu nikamuuliza mbona sijaona message akasema imechelewab kunifikia
Mara naona message hiyo na nikaulizwa una sh kwenye M PESA yako nikajibu million 2 acha acheze sindimba akijua kawini wakati nina 6000 tu KANIAMBIA fuata maelekezo nitakayo kuelekeza KANIAMBIA bonyeza*33*0000# me nikabonyeza vingine kabisa kaniuliza umeona nini me nikaanza kumchamba KANIAMBIA ananifungia line yangu nikamuuliza anaifungia bure au anahitaji na malipo? Akakata simu mara naona message hiyo eti umefungiwa
View attachment 1973969
Bege/mbekehivi mchana kama hivi unakunywaga kinywaji GANI vile nikuagizie
Hata mimi sijaielewa kitu, kumbe tupo wengi tuliotoka kapaNgoja nisubiri kwa aliye elewa ili anifahamishe na mimi.