...Nilimsikia jana Membe runingani akijitapa kuwa pesa iliyoibiwa inarudi katika mikono ya watanzania nikajiuliza hivi ndio tunaishia hapo basi tunakung'uta miguu na kuvuta shuka au kuna kubwa zaidi tunawajibika kulifanya ili kukomesha mambo ya namna hiyo. Pili tutathibitisha vipi kuwa kweli nyumba za walimu zimejengwa, madawati yametengenezwa na vitabu vimenunuliwa? Tunaweza tu kuishia hapo katika kutangaza kuwa BA Systems wamerudisha pesa ambazo zinaaishia kufisadiwa tu.Jana Membe kasema BA systems wameomba account ya TZ ili waweke pesa ya watanzania
pesa kutumiwa kununua vitabu milioni nne,nyumba za walimu mia hamsini na madawati laki mbili
my take:je waliokula rushwa kuwajibishwa?
Jana Membe kasema BA systems wameomba account ya TZ ili waweke pesa ya watanzania
pesa kutumiwa kununua vitabu milioni nne,nyumba za walimu mia hamsini na madawati laki mbili
my take:je waliokula rushwa kuwajibishwa?