Hela ya kuomba unanipelekesha utafikiri unanidai

Hakunaga hela nyingi, hela itosheleze mahitaji ya kawaida ya kibinadamu ata ikiwezekana na ya anasa iwepo kwani nan asopenda vitu vizuri
Mimi nikiangalia muvi za wazungu naumia sana sijawahi kuona demu anapiga mzinga boyfriend wake sisi sijui wafrika tumelaaniwa na nani
 
Mimi nikiangalia muvi za wazungu naumia sana sijawahi kuona demu anapiga mzinga boyfriend wake sisi sijui wafrika tumelaaniwa na nani
Unaishi kwa movie za wazungu kwani we mzungu? We fanya kadri ya utamaduni uliopo kama huna ela subiri upate wa kuvumilia hali yako. Ishi kama ilivozoeleka mwanamke ni wa kuhudumiwa tu hata km atajiweza vipi jitaidi ata apate chupi ya efu3 ndo utakuwa mwanaume
 
Unaishi kwa movie za wazungu kwani we mzungu? We fanya kadri ya utamaduni uliopo kama huna ela subiri upate wa kuvumilia hali yako. Ishi kama ilivozoeleka mwanamke ni wa kuhudumiwa tu hata km atajiweza vipi jitaidi ata apate chupi ya efu3 ndo utakuwa mwanaume
Hapana waafrika mmejizoesha kutegemea k kama kitega uchumi najua tatizo ni umaskini na hili ni tatizo la nchi nyingi za third world, scandnavia na nchi zilizoendelea mademu hawana mambo yenu hayo kupiga mizinga
 
Huyu mdada sijui ana matatizo ya aina gani yani akiniambia "nikuambie kitu" basi ataomba hela. Hata kama sijamkubalia au kumkatalia ataanza na mi msg kutwa kucha kukumbushia utazani kuna hela ananidai aliniazima.

Au anaweza tu akaamua akatuma msg "nakuja leo" utafikiri labda kuna hela kaweka huku aje kuchukua, na akija ghafla usipompa hela atakudai kama ulimkopa vile.

Mtaani kwao anakuita Danga lake.
 
Back
Top Bottom