Hela ya kuandalia futari Wabunge, haiwezi kutumia kununulia madawati ya watoto wetu wanaokaa chini mashuleni?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,991
144,322
Kumekwa na hii tabia ya viongozi wa nchi hii kuwaandalia wabunge futari jambo ambalo naamini linafanyika kwa gharama za serikali huku Serikali hii ikikemea matumizi mabaya ya fedha za Umma.

Japo mini si muislamu, najiuliza kuna thawabu yoyote wanapata hawa viongozi kwa kutumia fedha ya umma kuandalia wabunge futari?

Kama ni thawabu au sijui ndio suna,si wangeipata iwapo wangetoa fedha kutoka mifukoni mwao na si kwa kutumia hela ya serikali ?

Tukirudi kwenye mada, idadi ya wabunge ni mita tatu ni tisini na kitu kama sikosei. Sasa gharama ya kuwaandalia chakula watu wote hawa tena wenye hadhi ya ubunge itapungua malaki kadhaa au hata kufika milioni na ushee?

Kwanini Raisi asione umuhimu wa kutoa fedha kama hizi kusaidia ununuzi wa madawati kwa watoto wa kitanzania wanaosoma katika mazingira magumu(wanakalia mawe au magogo huku wamejaa vumbi)

Au ni kwanini hiyo futari isiandaliwe kwa watoto yatima na badala yake wanaandaliwa watu wenye uwezo mkubwa na wanaolipwa vizuri tu?

Halafu hii futari haiwezi kutafsiriwa kama ni takrima kwa chombo kinachopaswa kuisimamia serikali?

Na kama serikali haina dini, vipi kutumia fedha za serikali kugharamia mambo ya kidini yawe ya kikiristo au kiisilamu?

Nawaza sana
 
Hii hi gharama lakini kwa wakati tulionao mshikamano wa dhati utajengeka kwa gharama,ikiwa ni pamoja na nia njema ya kuliweka taifa pamoja .Nii imani yangu kuwa kwa wakati huu,bunge ni lachama kimoja lakini mgawanyiko uliopo ni zaidi ya vyama mia vyenye nguvu.Hili lingefanyika wakati mwingine wa kawaida ungekuwa upotevu wa pesa .Mambo mazuri Yana gharama.
 
Hao wabunge na Rais wote ni wakazi wa Dodoma hakuna kosa lolote kula futari ya pamoja mwezi huu mtukufu.

Kuna bajeti ya ofisi ya rais na haya masuala yamekuwepo toka enzi za Mwinyi miaka ile.

Maishani hamuwezi kununa tu muda wote ni lazima utafika wakati wa kucheka na kubadilishana mawazo.
 
Hao wabunge na rais wote ni wakazi wa Dodoma hakuna kosa lolote kula futari ya pamoja mwezi huu mtukufu.

Kuna bajeti ya ofisi ya rais na haya masuala yamekuwepo toka enzi za Mwinyi miaka ile.
Hii kitu politically ni incorrect and morally wrong. Hiyo bajeti ingeweza kuelekezwa kwenye sehemu nyingine muhimu kwa manufaa ya taifa.

Kwamba imekuwepo tangu wakati wa Mwinyi bado haiwezi kuhalalisha uovu huu.

Hawa watu wangekuwa na ucha-Mungu wangejaribu hata kuiga mangi Mengi alivyokuwa anajumuika na kula na wenye uhitaji kwa gharama zake.
 
Kumukwa na hii tabia ya viongozi wa nchi hii kuwaandalia wabunge futari jambo ambalo naamini linafanyika kwa gharama za serikali huku serikali hii ikikemea matumizi mabaya ya fedha za umma.

Japo mini si muislamu, najiuliza kuna thawabu yoyote wanapata hawa viongozi kwa kutumia fedha ya umma kuandalia wabunge futari?

Kama ni thawabu au sijui ndio suna,si wangeipata iwapo wangetoa fedha kutoka mifukoni mwao na si kwa kutumia hela ya serikali ?

Tukirudi kwenye mada, idadi ya wabunge ni mita tatu ni tisini na kitu kama sikosei.Sasa gharama ya kuwaandalia chakula watu wote hawa tena wenye hadhi ya ubunge itapungua malaki kadhaa au hata kufika milioni na ushee?

Kwanini Raisi asione umuhimu wa kutoa fedha kama hizi kusaidia ununuzi wa madawati kwa watoto wa kitanzania wanaosoma katika mazingira magumu(wanakalia mawe au magogo huku wamejaa vumbi)

Au ni kwanini hiyo futari isiandaliwe kwa watoto yatima na badala yake wanaandaliwa watu wenye uwezo mkubwa na wanaolipwa vizuri tu?

Hii futari haiwezi kutafsiriwa kama ni takrima law chombo kinachopaswa kuisimamia serikali?

Na kama serikali haina dini, vipi kutumia fedha za serikali kugharamia mambo ya kidini yawe ya kikiristo au kiisilamu?

Nawaza sana!!
unatafuta kulogwa ?
 
Hii kitu politically ni incorrect and morally wrong. Hiyo bajeti ingeweza kuelekezwa kwenye sehemu nyingine muhimu kwa manufaa ya taifa.

Kwamba imekuwepo tangu wakati wa Mwinyi bado haiwezi kuhalalisha uovu huu.

Hawa watu wangekuwa na ucha-Mungu wangejaribu hata kuiga mangi Mengi alivyokuwa anajumuika na kula na wenye uhitaji kwa gharama zake.
Pamoja na kuwa kwa kawaida taasisi zinahitaji kuwa na mchango kwa jamii inayoizunguka,hapa kama taifa tunapitia kipindi ambacho tunahitaji kurejesha ule mshikamano wa kitaifa.Gharama kuiepuka sii rahisi bado tutapitia kipindi fulani cha kujiimarisha kwanza .
 
Hii kitu politically ni incorrect and morally wrong. Hiyo bajeti ingeweza kuelekezwa kwenye sehemu nyingine muhimu kwa manufaa ya taifa.

Kwamba imekuwepo tangu wakati wa Mwinyi bado haiwezi kuhalalisha uovu huu.

Hawa watu wangekuwa na ucha-Mungu wangejaribu hata kuiga mangi Mengi alivyokuwa anajumuika na kula na wenye uhitaji kwa gharama zake.
Sidhani kama pesa ya chakula hicho cha jioni hiyo inaweza kuleta badiliko lolote la maana kama ikienda kutumika kwenye sekta nyingine.

Tangu uhuru kuna ufisadi mwingi umeshafanyika tangu Awamu ya kwanza, sidhani kama hela ya futari ya siku moja tu ina karibia hata moja ya kumi ya pesa iliyowekwa kwenye mabenki ya uswizi na mataifa mengine.

Tuachane na hizi nongwa zisizo na kichwa wala miguu.
 
Kumukwa na hii tabia ya viongozi wa nchi hii kuwaandalia wabunge futari jambo ambalo naamini linafanyika kwa gharama za serikali huku serikali hii ikikemea matumizi mabaya ya fedha za umma.

Japo mini si muislamu, najiuliza kuna thawabu yoyote wanapata hawa viongozi kwa kutumia fedha ya umma kuandalia wabunge futari?

Kama ni thawabu au sijui ndio suna,si wangeipata iwapo wangetoa fedha kutoka mifukoni mwao na si kwa kutumia hela ya serikali ?

Tukirudi kwenye mada, idadi ya wabunge ni mita tatu ni tisini na kitu kama sikosei.Sasa gharama ya kuwaandalia chakula watu wote hawa tena wenye hadhi ya ubunge itapungua malaki kadhaa au hata kufika milioni na ushee?

Kwanini Raisi asione umuhimu wa kutoa fedha kama hizi kusaidia ununuzi wa madawati kwa watoto wa kitanzania wanaosoma katika mazingira magumu(wanakalia mawe au magogo huku wamejaa vumbi)

Au ni kwanini hiyo futari isiandaliwe kwa watoto yatima na badala yake wanaandaliwa watu wenye uwezo mkubwa na wanaolipwa vizuri tu?

Hii futari haiwezi kutafsiriwa kama ni takrima law chombo kinachopaswa kuisimamia serikali?

Na kama serikali haina dini, vipi kutumia fedha za serikali kugharamia mambo ya kidini yawe ya kikiristo au kiisilamu?

Nawaza sana!!
Haiwezi kununua madawati sababu sio ya kununua madawati.
 
Kumukwa na hii tabia ya viongozi wa nchi hii kuwaandalia wabunge futari jambo ambalo naamini linafanyika kwa gharama za serikali huku serikali hii ikikemea matumizi mabaya ya fedha za umma.

Japo mini si muislamu, najiuliza kuna thawabu yoyote wanapata hawa viongozi kwa kutumia fedha ya umma kuandalia wabunge futari?

Kama ni thawabu au sijui ndio suna,si wangeipata iwapo wangetoa fedha kutoka mifukoni mwao na si kwa kutumia hela ya serikali ?

Tukirudi kwenye mada, idadi ya wabunge ni mita tatu ni tisini na kitu kama sikosei.Sasa gharama ya kuwaandalia chakula watu wote hawa tena wenye hadhi ya ubunge itapungua malaki kadhaa au hata kufika milioni na ushee?

Kwanini Raisi asione umuhimu wa kutoa fedha kama hizi kusaidia ununuzi wa madawati kwa watoto wa kitanzania wanaosoma katika mazingira magumu(wanakalia mawe au magogo huku wamejaa vumbi)

Au ni kwanini hiyo futari isiandaliwe kwa watoto yatima na badala yake wanaandaliwa watu wenye uwezo mkubwa na wanaolipwa vizuri tu?

Hii futari haiwezi kutafsiriwa kama ni takrima law chombo kinachopaswa kuisimamia serikali?

Na kama serikali haina dini, vipi kutumia fedha za serikali kugharamia mambo ya kidini yawe ya kikiristo au kiisilamu?

Nawaza sana!!
Wewe mfipa ni mdini sana!
 
Pamoja na kuwa kwa kawaida taasisi zinahitaji kuwa na mchango kwa jamii inayoizunguka,hapa kama taifa tunapitia kipindi ambacho tunahitaji kurejesha ule mshikamano wa kitaifa.Gharama kuiepuka sii rahisi bado tutapitia kipindi fulani cha kujiimarisha kwanza .
Very diplomatic. Good
 
Kumukwa na hii tabia ya viongozi wa nchi hii kuwaandalia wabunge futari jambo ambalo naamini linafanyika kwa gharama za serikali huku serikali hii ikikemea matumizi mabaya ya fedha za umma.

Japo mini si muislamu, najiuliza kuna thawabu yoyote wanapata hawa viongozi kwa kutumia fedha ya umma kuandalia wabunge futari?

Kama ni thawabu au sijui ndio suna,si wangeipata iwapo wangetoa fedha kutoka mifukoni mwao na si kwa kutumia hela ya serikali ?

Tukirudi kwenye mada, idadi ya wabunge ni mita tatu ni tisini na kitu kama sikosei.Sasa gharama ya kuwaandalia chakula watu wote hawa tena wenye hadhi ya ubunge itapungua malaki kadhaa au hata kufika milioni na ushee?

Kwanini Raisi asione umuhimu wa kutoa fedha kama hizi kusaidia ununuzi wa madawati kwa watoto wa kitanzania wanaosoma katika mazingira magumu(wanakalia mawe au magogo huku wamejaa vumbi)

Au ni kwanini hiyo futari isiandaliwe kwa watoto yatima na badala yake wanaandaliwa watu wenye uwezo mkubwa na wanaolipwa vizuri tu?

Hii futari haiwezi kutafsiriwa kama ni takrima law chombo kinachopaswa kuisimamia serikali?

Na kama serikali haina dini, vipi kutumia fedha za serikali kugharamia mambo ya kidini yawe ya kikiristo au kiisilamu?

Nawaza sana!!
Mbona akina Mbowe na Lissu walipoalikwa Ikulu na Mzee Kikwete wakawa wanafakamia chai na maandazi hukulalamika?
 
Mbona akina Mbowe na Lissu walipoalikwa Ikulu na Mzee Kikwete wakawa wanafakamia chai na maandazi hukulalamika?
Ule mwaliko haukuwa wa kwenda kunywa chai. Walialikwa kujadili mambo muhimu ya nchi, hiyo chai ilikuwa kiburudisho tu wakati mjadala ukiendelea.

Mimi ningewaona wa maana hawa wabunge kama kila mmoja angechangia ile posho yao ya makalio ya siku moja kwenda kugharamia futari ya watu wenye uhitaji huko mtaani.
 
Kumukwa na hii tabia ya viongozi wa nchi hii kuwaandalia wabunge futari jambo ambalo naamini linafanyika kwa gharama za serikali huku serikali hii ikikemea matumizi mabaya ya fedha za umma.

Japo mini si muislamu, najiuliza kuna thawabu yoyote wanapata hawa viongozi kwa kutumia fedha ya umma kuandalia wabunge futari?

Kama ni thawabu au sijui ndio suna,si wangeipata iwapo wangetoa fedha kutoka mifukoni mwao na si kwa kutumia hela ya serikali ?

Tukirudi kwenye mada, idadi ya wabunge ni mita tatu ni tisini na kitu kama sikosei.Sasa gharama ya kuwaandalia chakula watu wote hawa tena wenye hadhi ya ubunge itapungua malaki kadhaa au hata kufika milioni na ushee?

Kwanini Raisi asione umuhimu wa kutoa fedha kama hizi kusaidia ununuzi wa madawati kwa watoto wa kitanzania wanaosoma katika mazingira magumu(wanakalia mawe au magogo huku wamejaa vumbi)

Au ni kwanini hiyo futari isiandaliwe kwa watoto yatima na badala yake wanaandaliwa watu wenye uwezo mkubwa na wanaolipwa vizuri tu?

Hii futari haiwezi kutafsiriwa kama ni takrima law chombo kinachopaswa kuisimamia serikali?

Na kama serikali haina dini, vipi kutumia fedha za serikali kugharamia mambo ya kidini yawe ya kikiristo au kiisilamu?

Nawaza sana!!
Acha watu wale bwana, hiyo hela wanalipwa wajasiriamali
 
Back
Top Bottom