MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,390
Achana na hela, yaani Trump kalainika kinoma, hasa akifikiria kuna dili la dola bil 100 mezani kutoka kwa Waarabu. Ukimwangalia usoni yaani hata hataki kabisa kusikia jina Khashoggi .Waarabu wanajua hela ndio kila kitu.
Lakini tuseme ndio labda kwa bahati mbaya mzee baba Magu angepita na Nyaningabu au Mange kwenye viunga vya Los Angeles sasa hivi tungekuwa tuna vikwazo karibia mia labda hata makombora yangekuwa yanafanya warm up .
Lakini tuseme ndio labda kwa bahati mbaya mzee baba Magu angepita na Nyaningabu au Mange kwenye viunga vya Los Angeles sasa hivi tungekuwa tuna vikwazo karibia mia labda hata makombora yangekuwa yanafanya warm up .