mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Katika mawaziri waliofanikiwa kwa kiwango cha juu uwezi kumwacha waziri Kijana Mpina, huyu alipigana sana kuondoa uvuvi haramu, amepiga marufuku kuvua samaki wadogo, samaki kuwekewa sumu. Ni waziri aliyechoma nyavu nyingi sana ambazo zilitumika katika uvuvi haramu. Pamoja na kupata changamoto wabunge wenzie wakimchamba kwa kupima samaki kwa rula, lakini aliyemchagua alimwona bado anafaa akamwacha. Ni waziri ambaye hana mchezo kabisa kwa kufuatilia sheria iliyowekwa.
Wavuvi wengi walimchukiasana kwani waliona anawapotezea kipata, wengi walifilisiwa, lakini sasa hivi tumeshududia sehemu nyingi kuna samaki wakubwa na wengi sana, samaki wameshuka bei. Hata hivyo bei inaweza kushuka zaidi ila wafanyabiahsa wana janja sana kuhakikisha bei haishuki bali kupandai.
Mwanza sasa hivi bei ya samaki ipo chini ukilinganisha na huko nyuma bei yasamaki ilikuwa haishikiki.
Katika mawaziri waliofanikiwa kwa kiwango cha juu uwezi kumwacha waziri Kijana Mpina, huyu alipigana sana kuondoa uvuvi haramu, amepiga marufuku kuvua samaki wadogo, samaki kuwekewa sumu. Ni waziri aliyechoma nyavu nyingi sana ambazo zilitumika katika uvuvi haramu. Pamoja na kupata changamoto wabunge wenzie wakimchamba kwa kupima samaki kwa rula, lakini aliyemchagua alimwona bado anafaa akamwacha. Ni waziri ambaye hana mchezo kabisa kwa kufuatilia sheria iliyowekwa.
Wavuvi wengi walimchukiasana kwani waliona anawapotezea kipata, wengi walifilisiwa, lakini sasa hivi tumeshududia sehemu nyingi kuna samaki wakubwa na wengi sana, samaki wameshuka bei. Hata hivyo bei inaweza kushuka zaidi ila wafanyabiahsa wana janja sana kuhakikisha bei haishuki bali kupandai.
Mwanza sasa hivi bei ya samaki ipo chini ukilinganisha na huko nyuma bei yasamaki ilikuwa haishikiki.