wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,147
Nimekusoma na kukuelewa vyema leo ulipokuwa singida ,umeonyesha ni namna gani serikali iko pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama hasa jeshi la polisi kwa kuondokewa na askari wake.
Pia kauli hii inahitimisha kelele dhidi ya Saimon Siro za wanasiasa waliojificha kwenye uhanaharakati kupata somo la kile wanachifikiria kama ajali wanayoitengeneza kwa kamanda makini Simion Siro
Pia kauli hii inahitimisha kelele dhidi ya Saimon Siro za wanasiasa waliojificha kwenye uhanaharakati kupata somo la kile wanachifikiria kama ajali wanayoitengeneza kwa kamanda makini Simion Siro