tutaunda tume ya kuchunguza ni fundi gani walihusika,kisha tutaunda kamati ya kuamua adhabu gani itolewe,majibu yatakapotoka,tutaunda kamati nyingine ya kupitisha adhabu na kupeleka swala mahakamani
hapana hiyo nguzo ndo ilivyo inaswing kama kibendera cha kona usishangae ukaiona imeswing the otherside TANESCO HOYEEEEEEEEEE TWIGA HOYEEEEEEEEE TUME NA KAMATI HOYEEEEEEEEEEEEE ASANTENI NDUGU WANANCHI
tutaunda tume ya kuchunguza ni fundi gani walihusika,kisha tutaunda kamati ya kuamua adhabu gani itolewe,majibu yatakapotoka,tutaunda kamati nyingine ya kupitisha adhabu na kupeleka swala mahakamani
wengi wanaweza wakawa walipita hapa lakini hawakugundua kitu na naamini aliyeliona hili na kulileta hapa ni great thinker hasa.
Hii inaonyesha wazi kuwa waliotangulia TANESCO walikuwa na upeo wa kuona angalau maili 60 mbele lakini hawa wa sasa sina uhakika kama wanaona hata maili moja!
Wanaunda Tume.., Na hadidu Za rejea walizopewa ni pamoja Na kuchunguza bending ability ya Egamo, Manunuzi ya Egano(kimti) Kama yalifuata kanuni zote Za procurement, nguzo itakapoanguka ni kadirio la watu wangapi watakufa ili kitengo Cha Maafa Ofisi ya Waziri mkuu wawili standby..ah.. Tume tume
Hao jamaa sasa hivi nawapongeza pamoja na mapungufu hayo mnayo yaona. Sasa hivi taa sisisi za serikali zimechapwa LUKU, sasa subiri mtaona kitakachofuata kuanzia January.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.