bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
Tunakupongeza Mbunge wetu Lema pamoja na meya WA jiji la Arusha Calisty Lazaro kwa maendeleo ya mkoa huu.
Tunaona ujenzi WA Bara bara hadi za mitaani ukiendelea kwa mwendo WA changarawe na zile kuu kwa kiwango cha Lami., tunashukuru Sana sasahivi hata vumbi hamna huku mtaani,
Naamini hizi mlizoweka changarawe huku mtaani baada ya miaka 2,itakuwa full lami.
Tunaona ujenzi WA Bara bara hadi za mitaani ukiendelea kwa mwendo WA changarawe na zile kuu kwa kiwango cha Lami., tunashukuru Sana sasahivi hata vumbi hamna huku mtaani,
Naamini hizi mlizoweka changarawe huku mtaani baada ya miaka 2,itakuwa full lami.