Salamu sana wana jamii wote.
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua ya kizalendo aliyoichukua kuunda Kamati ya kupitia mikataba ya madini ni matokeo yake ni Mswada mpya wa Madini ambao utapelekwa Bungeni mwezi April mwaka huu..Ukweli ni kwamba Raisi wetu amefanya kazi nzuri na anastahili pongezi,japo kunaweza kuwa na mapungufu mengi katika mswada wenyewe lakini ni hatua muhimu sana ya kuanzia kuwasadia watanzania wote tuweze KUFAIDI matunda ya Raslimali yetu ya madini.Heko JK !!!! fanya hivyo kwa:-
1.TANESCO
2.TRL
Changamoto katika mswada MPYA wa Madini:
HIFADHI YA MAZINGIRA
Mswada haujuweka bayana vipengele vikali ambavyo vitawabana wawekezaji katika sector hii ya madini dhidi ya Uharibifu Mkubwa wa Mazingira wakati wa shughuli za uchimbaji wa Madini na tunaomba waheshimiwa wabunge mkalijadili hili kwa kina wakati wa mjadala wa mswada huu mpya ambao umewakuna sana MAMILION ya Watanzania.
HEKO JK HUU NI MWANZO MZURI na Tunakuunga mkono kwa Juhudi hizo na usijali wasemayo watu wewe ni mwanadamu na hauwezi kukosa mapungufu na kumbuka hata ungetenda jema gani si rahisi watu wote wakupende ndivyo wanadamu tulivyo!
HEKO JK heko MSWADA MPYA WA MADINI!
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua ya kizalendo aliyoichukua kuunda Kamati ya kupitia mikataba ya madini ni matokeo yake ni Mswada mpya wa Madini ambao utapelekwa Bungeni mwezi April mwaka huu..Ukweli ni kwamba Raisi wetu amefanya kazi nzuri na anastahili pongezi,japo kunaweza kuwa na mapungufu mengi katika mswada wenyewe lakini ni hatua muhimu sana ya kuanzia kuwasadia watanzania wote tuweze KUFAIDI matunda ya Raslimali yetu ya madini.Heko JK !!!! fanya hivyo kwa:-
1.TANESCO
2.TRL
Changamoto katika mswada MPYA wa Madini:
HIFADHI YA MAZINGIRA
Mswada haujuweka bayana vipengele vikali ambavyo vitawabana wawekezaji katika sector hii ya madini dhidi ya Uharibifu Mkubwa wa Mazingira wakati wa shughuli za uchimbaji wa Madini na tunaomba waheshimiwa wabunge mkalijadili hili kwa kina wakati wa mjadala wa mswada huu mpya ambao umewakuna sana MAMILION ya Watanzania.
HEKO JK HUU NI MWANZO MZURI na Tunakuunga mkono kwa Juhudi hizo na usijali wasemayo watu wewe ni mwanadamu na hauwezi kukosa mapungufu na kumbuka hata ungetenda jema gani si rahisi watu wote wakupende ndivyo wanadamu tulivyo!
HEKO JK heko MSWADA MPYA WA MADINI!