Environmental Security
Senior Member
- May 21, 2020
- 181
- 261
Habarini,
Kuna hekima ya Kiafrika ya namna ya kumdhibiti paka na kumpiga akiwa kakosea, awe ni paka wako au wa jirani.
Wazee wa Kiafrika wanashauri kuwa ukifanikiwa kumdhibiti paka ndani ya chumba na mkononi una kiboko mujarabu kwa ajili ya kumpa kichapo na mlango na madirisha yamefungwa ipasavyo, wanashauri kabla hujaanza kumpiga hakikisha unaweka uwazi kidogo au nafasi ya kupenya na kukimbia akizidiwa na kichapo. Usipofanya hivyo akizidiwa na kichapo na kuanza kuona dalili za kifo atakugeukia kwa mbinu zozote na nguvu zake zote na hakika hatokuacha salama, atakumaliza au wewe ndio utatafuta pakutokea ujiponye.
Bana sana ila hakikisha unaweka mianya usizibe kila mwanya
Asante
Kuna hekima ya Kiafrika ya namna ya kumdhibiti paka na kumpiga akiwa kakosea, awe ni paka wako au wa jirani.
Wazee wa Kiafrika wanashauri kuwa ukifanikiwa kumdhibiti paka ndani ya chumba na mkononi una kiboko mujarabu kwa ajili ya kumpa kichapo na mlango na madirisha yamefungwa ipasavyo, wanashauri kabla hujaanza kumpiga hakikisha unaweka uwazi kidogo au nafasi ya kupenya na kukimbia akizidiwa na kichapo. Usipofanya hivyo akizidiwa na kichapo na kuanza kuona dalili za kifo atakugeukia kwa mbinu zozote na nguvu zake zote na hakika hatokuacha salama, atakumaliza au wewe ndio utatafuta pakutokea ujiponye.
Bana sana ila hakikisha unaweka mianya usizibe kila mwanya
Asante