guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Andiko zuri sana
Bila shaka sasa umeokokaMimi isingekuwa ni fimbo na ukali wa wazazi, ungekuta nimejifia na uzinzi au mihadarati. Nawashukuru sana wazazi wangu kwa kuwa wamenifanya niishi hadi leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi wakwako unawachapa leo?Mimi isingekuwa ni fimbo na ukali wa wazazi, ungekuta nimejifia na uzinzi au mihadarati. Nawashukuru sana wazazi wangu kwa kuwa wamenifanya niishi hadi leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
nilahisi kukaanyuma ya kibodi kuelezea ubaya wafimbo lakini ukipita mitaani utakutana nakizazi kisicho na ndham wala hekima yote ssbabu yamapenzi yakipumbavu ya wazi mtoto unamwambia Mara ya kwanza hasikii yapili nayatatu hasikiitu hapo rafiki mzuri nikiboko wakati mwingine motto hufanya usumbufu makusudi ili a one utamfanya mini.ukimuacha nakesho anarudia weka fimbombali utengeneze Toto jinga.
kiazia cha 2000's tunakiita GENERATION Z chenyewe kinapenda comment fupifupi.Kama huwezi tumia dk 3 kusoma vitu kama hivi,sijui utaweza kusoma nini? Sio mbaya hulka na shauku pia huchangia. Nimekuelewa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
2 hii sikwa watoto wa kiafrica haswa wa kitanzania bila fimbo mambo hayaendi mm nilikuwa mtukutuNilitamani iwe hivyo lakini content yake ni pana sana,nikifupisha wengi wasingeelewa..tujitahidi kusoma tu
paleintNdugu unachapa wako?