Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
- Thread starter
- #41
Mkuu banaaa...Kuna msemo kwamba "sio kila mzee ana busara, kwasababu hata wahuni uzeeka".
Nahisi wapo waliosahau kwamba hata wahuni huzeeka.
Sawa....
Kwa hiyo MHUNI kijana ama mzee HAWEZI akaongea neno la BUSARA hata Mara Moja?!!!!
Maana muda si mrefu Mla Unga Mmoja amenisave kunishtua kuwa Yuko kijana mwenzangu anakata Mkungu Wangu Wa Ndizi Hapo Nyuma...