Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 655
- 1,390
Habari wakuu,
Ninauza shamba la miti ya mbao lenye ukubwa wa ekari moja.
-Shamba halijapimwa/ halina hati
-Miti ina umri ya miaka nane
-Shamba lipo kijiji cha Kipengere mkoani Njombe
-Shamba limepakana na barabara na ni ngumu kufikiwa na hatari ya moto
-Pia ukitaka kununua miti pekee tunaweza kuzungumza
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni mbili na laki tano tu (2,500,000/=)
Mawasiliano 0679861325.
Karibuni sana
Ninauza shamba la miti ya mbao lenye ukubwa wa ekari moja.
-Shamba halijapimwa/ halina hati
-Miti ina umri ya miaka nane
-Shamba lipo kijiji cha Kipengere mkoani Njombe
-Shamba limepakana na barabara na ni ngumu kufikiwa na hatari ya moto
-Pia ukitaka kununua miti pekee tunaweza kuzungumza
Bei ya shamba hilo ni shilingi milioni mbili na laki tano tu (2,500,000/=)
Mawasiliano 0679861325.
Karibuni sana