MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Mwaka juzi nilipita shamba la Alizeti la Mzee mmoja nikavutiwa na namna Alizeti yake ilistawi na ikiwa na afya.
Nikamfuata na kumpongeza sana kwa namna ameweza kuihudumia ile Alizeti akaniambia
"Hii alizeti mbegu siijui jina ila namimi niliomba kwa mtu na haoa unaiona sikutumia Mbolea na parizi nimefanya moja tu"
Sasa yeye hakujikita kufanya tathimini ya kina,ivo nikamuomba mbegu namimi za kutosha eka 3 akanipa nikamlipa 270k tu.
Msimu wa kilimo wa 2020/21 nikaandaa shamba nikapanda baada ya kuona namna suke zake zilivo nikajiridhisha kwa eka 1 ninauwezo wa kupata kg 800~ 1000 za Alizeti namimi sijatumia MBOLEA yoyote. Kwa hizi eka 3 nina uhakika wa kupata kg 2400~ 3000 kwa uwezo wa Mungu.
~Eneo Lyanamwe Mbarali Mbeya.
Nikamfuata na kumpongeza sana kwa namna ameweza kuihudumia ile Alizeti akaniambia
"Hii alizeti mbegu siijui jina ila namimi niliomba kwa mtu na haoa unaiona sikutumia Mbolea na parizi nimefanya moja tu"
Sasa yeye hakujikita kufanya tathimini ya kina,ivo nikamuomba mbegu namimi za kutosha eka 3 akanipa nikamlipa 270k tu.
Msimu wa kilimo wa 2020/21 nikaandaa shamba nikapanda baada ya kuona namna suke zake zilivo nikajiridhisha kwa eka 1 ninauwezo wa kupata kg 800~ 1000 za Alizeti namimi sijatumia MBOLEA yoyote. Kwa hizi eka 3 nina uhakika wa kupata kg 2400~ 3000 kwa uwezo wa Mungu.
~Eneo Lyanamwe Mbarali Mbeya.