Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
Za leo wandugu,
Jamani naombeni msaada, mwanangu wa ana 4 months ila anasumbuliwa sn na mbaa mwingi kichwani, kapimwa damu kakutwa na deficiency of Zinc minerals. Na kwa sasa yuko kwenye doze for one week...but no improvement kichwani. Ila sehemu zingine za mwili zimeanza kurudia hali yake ya kawaida. Nilijaribu olive oil nikaona ndo kama nazidisha vile. Naombeni msaada nitumie nini kwa huo mmbaa jamani. Utanitia wasiwasi kwa kweli.
Jamani naombeni msaada, mwanangu wa ana 4 months ila anasumbuliwa sn na mbaa mwingi kichwani, kapimwa damu kakutwa na deficiency of Zinc minerals. Na kwa sasa yuko kwenye doze for one week...but no improvement kichwani. Ila sehemu zingine za mwili zimeanza kurudia hali yake ya kawaida. Nilijaribu olive oil nikaona ndo kama nazidisha vile. Naombeni msaada nitumie nini kwa huo mmbaa jamani. Utanitia wasiwasi kwa kweli.