NINAHASIRA
Member
- Nov 5, 2010
- 58
- 9
Ningekuwa mi mungu basi kesho ningeizuia!! Mana hakuna cku itakayoniuma km hiyo!
Anaapishwa na mtu aliyemwajiri yeye...sio kiapo aslani
natamani ningekuwa sniper!
Kumbe alidondoka ikulu ya Zenji?mi namuomba anywe dawa maana hajanywa leo na juzi hapa alipotka zanzibar kuapishwa shein alidodondoka hapo ikulu.
amepewa dawa kanywa siku moja tu....
kesho sidhani kam atasimama pale kuapa.
ana kisukari kiko 16.4
Kwa hiyo miaka yote hakukuwa na viapo?
Kwa katiba tuliyonayo ni lazima aapishwe, lakini tungelikuwa na katiba huru wangesubiri mpaka uchunguzi ufanyike kuhusu kura zilizoibwa.
Nitafute mnara mmoja mrefu au jengo refu nimfumue kichwa chake nikiwa mbali kabisa na eneo la kuapishiwa. Nadhani nitakufa nikiwa shujaa!!
nimekupata Ngigana!!Je inawezekana kile alichotabiri TB JOSHUA kwa ajili ya Tanzania kimetimia? Alisema upinzani utashinda lakini hautatawala!!! mm Mungu alijua yatakayotokea, lakni pia naamini anajua what next kwa ajili ya taifa letu! Tujipe moyo wapenda demokrasia ya kweli hakuna marefu yasiyo na mwisho!