The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,388
- 12,971
This is a NICE one ............!!"Kwa kauli hizi ameondoa kina Sabaya wachache wa Magufuli anaweka kina Sabaya wake, soon utekaji, mauji na utesaji wa watu utaanza.hivi nchi ambayo wewe ukiwa makamu wa rais mlisema mmeinua uchumi na kupeleka uchumi wa kati lini tena umeanguka mpaka unataka kuuinua? Heshimu katiba"-John Heche