Wakuu leo kunatarajiwa kufanyika Press Conferences 2 za muhimu, Dodoma na Dar. Wakati Ndugu John John Mnyika atakuwa akimvaa, kwa hoja, PM Pinda kwa utetezi wake dhaifu wa posho, ikiwemo kauli ya ajabu kabisa kuwahi kutolewa na mtu wa ngazi yake, eti zinatumika kukaa mfukoni na kuwapatia 'ombaomba' wanaokutana nao nje, ndugu John Wegesa Suguta Heche, yeye atakuwa Dar es Salaam, akipiga hoja kadhaa, ambazo kwa taarifa zilizopatikana mpaka sasa zitakuwa pamoja na mikakati ya BAVICHA, Hali ya Kisiasa nchini- mauaji ya polisi, migomo ya wanafunzi vyuo vikuu, bajeti na chama la magamba.
Lakini pia, ndugu Heche, Mwenyekiti wa BAVICHA taifa atakuwa Star Tv Vs Nape Nnauye kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi, hapo saa 4 nafikiri na nusu hivi, zipo nondo hapo wakuu watakaokuwa na muda watege sikio. Naomba kuwasilisha wandugu.
.
Toa muda wa uhakika, saizi asubuhi saa mbili STAR TV, tuongee asubuhi wapo kina MbatiaWakuu leo kunatarajiwa kufanyika Press Conferences 2 za muhimu, Dodoma na Dar. Wakati Ndugu John John Mnyika atakuwa akimvaa, kwa hoja, PM Pinda kwa utetezi wake dhaifu wa posho, ikiwemo kauli ya ajabu kabisa kuwahi kutolewa na mtu wa ngazi yake, eti zinatumika kukaa mfukoni na kuwapatia 'ombaomba' wanaokutana nao nje, ndugu John Wegesa Suguta Heche, yeye atakuwa Dar es Salaam, akipiga hoja kadhaa, ambazo kwa taarifa zilizopatikana mpaka sasa zitakuwa pamoja na mikakati ya BAVICHA, Hali ya Kisiasa nchini- mauaji ya polisi, migomo ya wanafunzi vyuo vikuu, bajeti na chama la magamba.Lakini pia, ndugu Heche, Mwenyekiti wa BAVICHA taifa atakuwa Star Tv Vs Nape Nnauye kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi, hapo saa 4 nafikiri na nusu hivi, zipo nondo hapo wakuu watakaokuwa na muda watege sikio. Naomba kuwasilisha wandugu..
rudia sridi.....usiwe mwinyi.....ukiruudia utaona mudaToa muda wa uhakika, saizi asubuhi saa mbili STAR TV, tuongee asubuhi wapo kina Mbatia
Wakuu leo kunatarajiwa kufanyika Press Conferences 2 za muhimu, Dodoma na Dar. Wakati Ndugu John John Mnyika atakuwa akimvaa, kwa hoja, PM Pinda kwa utetezi wake dhaifu wa posho, ikiwemo kauli ya ajabu kabisa kuwahi kutolewa na mtu wa ngazi yake, eti zinatumika kukaa mfukoni na kuwapatia 'ombaomba' wanaokutana nao nje, ndugu John Wegesa Suguta Heche, yeye atakuwa Dar es Salaam, akipiga hoja kadhaa, ambazo kwa taarifa zilizopatikana mpaka sasa zitakuwa pamoja na mikakati ya BAVICHA, Hali ya Kisiasa nchini- mauaji ya polisi, migomo ya wanafunzi vyuo vikuu, bajeti na chama la magamba.
Lakini pia, ndugu Heche, Mwenyekiti wa BAVICHA taifa atakuwa Star Tv Vs Nape Nnauye kwenye kipindi cha Medani za Siasa na Uchumi, hapo saa 4 nafikiri na nusu hivi, zipo nondo hapo wakuu watakaokuwa na muda watege sikio. Naomba kuwasilisha wandugu.
.
Nisaidie mkuu, " Saa 4 nafikiri na nusu hivi", huu ni muda gani? mimi mwinyirudia sridi.....usiwe mwinyi.....ukiruudia utaona muda
muda gani katika context gani mwinyi????Nisaidie mkuu, " Saa 4 nafikiri na nusu hivi", huu ni muda gani? mimi mwinyi
Nisaidie mkuu, " Saa 4 nafikiri na nusu hivi", huu ni muda gani? mimi mwinyi