Kumbuka mungu anavyozungumza kwenye biblia kumbe haujui biblia kama wewe si mdhambi mpige mwenzako jiwe slaa anataka kuwakomboa watanzania kutoka utumwa wa mwafrika wenyewe na rose vilevile anajitahidi kuwakomboa watanzania angalia nchi ilivyo uzwa wawekezaji wako mezamoja na mawaziri na wanazidi kuneemeka wenyewe na kugawa trekta za rushwa na pikiki wanazopata toka kwa wawekezaji ili waendelee kutunyonya .je hata hiyo huioni hatari