Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Mwenyekiti wa BAVICHA John Heche, Katibu Mkuu wa BAVICHA Deogratias Munishi, Mbunge Peter Msigwa, Mbunge Rose Kamili na Mbunge Suzan Kiwanga leo wataunguruma Mjini Morogoro katika Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu wa CHADEMa litakalofanyika katika ukumbi wa SAVOA.
Kongamano hilo limeandaliwa na CHASO Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa matangazo yaliyabandikwa sehemu mbali mbali hapa Morogoro litaanza saa tatu kamili asubuhi.
Kongamano hilo limeandaliwa na CHASO Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa matangazo yaliyabandikwa sehemu mbali mbali hapa Morogoro litaanza saa tatu kamili asubuhi.