nape ambaye ni katibu mwenezi wa ccm na mtatitiro wa chadema wapo live now star tv tufuatilie mjadala
Mkuu Mtatiro hayupo hapo wapo John Heche(BAVICHA),Nape CCM na kiongozi mmoja kutoka CUF lakn si Mtatiro
Ahsante mkuu vidole vimeteleza
ajaacha bado mkuu! Naona jamaa wa cuf analialia tu!nape bado hajaacha kutumia carolitte jamani!
si ndio anaonyesha mfano wa kujivua gamba!nape bado hajaacha kutumia carolitte jamani!
Kiongozi huyu wa Cuf analia lia tu ati kwamba wao ni walimu wa vyama vya upinzani,huyu nae bomu na cjampata jina lake bado
Kiongozi huyu wa Cuf analia lia tu ati kwamba wao ni walimu wa vyama vya upinzani,huyu nae bomu na cjampata jina lake bado