Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mbunge John Heche akichangia kwenye kongamano la Demokarasia amehoji kuna haja gani ya upinzani kushiriki kwenye uchaguzi ambao matokeo yake yameshapangwa?
ametolea mfano uchaguzi wa juzi ambao CHADEMA wameshinda kata 1 kati ya 43 na mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuomba radhi kwa Magufuli kisa CHADEMA imeshida kwenye kata yake
Watu wamepigwa na kuumizwa sana hata yeye alipokuwa akisimamia uchaguzi alipigiwa simu na waziri kuambiwa aondoke ili asipigwe
Amehoji Watanzania tupo tayari kuendelea na demokrasia hii ambayo matokeo yanafahamika kabla?
ametolea mfano uchaguzi wa juzi ambao CHADEMA wameshinda kata 1 kati ya 43 na mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuomba radhi kwa Magufuli kisa CHADEMA imeshida kwenye kata yake
Watu wamepigwa na kuumizwa sana hata yeye alipokuwa akisimamia uchaguzi alipigiwa simu na waziri kuambiwa aondoke ili asipigwe
Amehoji Watanzania tupo tayari kuendelea na demokrasia hii ambayo matokeo yanafahamika kabla?