Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Tarime hatujawahi kuwa waoga tutasimama imara na tutashinda kwasababu tuko kwenye haki.
Bulaya yuko selo wewe unabwabwaja wanamara hamjawahi kuwa waoga? Kitu gani utafanya kuonesha hauko tayari kuonewa?.View attachment 57041 Ni ajabu kwamba leo Mbunge Ester Bulaya amekamatwa na anashikiliwa na polisi eti kwa kuja jimboni kwangu kunisaidia kuchangia kwenye ujenzi wa Hostel ya watoto wa kike kwenye shule ya sekondari Nyamongo!!! Mh Bulaya ni Mwanamara, ni Mtanzania na ana haki ya kufanya ushirikiano na mtu yeyote anaetaka,sitakubali kuona viongozi wachache wa serikali wasiokuwa na uadilifu wanahujumu maendeleo makubwa tunayofanya Tarime kisa yanafanywa na chadema, hatutakubali wataka sifa wanaotafuta vyeo eti kwa kuonesha wanaonea wapinzani wafanye hivyo Tarime.
Tarime hatujawahi kuwa waoga tutasimama imara na tutashinda kwasababu tuko kwenye haki.
Hata km kweli imezuiliwa haitarudi?Yaani hao maccm laana zimeshaanza kuwatafuna'kwa kazi sana, ndiyo maana wanafanya mambo ya ajabu ajabu....
Imagine bombardier imezuiwa huko Canada....
Majadiliano ya makinikia nayo timu yetu ya majadiliano imewekewa "mashine" za oxygen kwa ajili ya kupumulia!
Lakini ambacho maccm hawataki kukijua ni kuwa MWISHO WA UBAYA AIBU.....
Umesema kweliCCM ni kusanyiko la watu wajinga.
Umesema kweliCCM ni kusanyiko la watu wajinga.
Huyo heche ni ccm au?
Inawezekana Kingu ana uwakirishi sehemu mbiliView attachment 570419 Ni ajabu kwamba leo Mbunge Ester Bulaya amekamatwa na anashikiliwa na polisi eti kwa kuja jimboni kwangu kunisaidia kuchangia kwenye ujenzi wa Hostel ya watoto wa kike kwenye shule ya sekondari Nyamongo!!! Mh Bulaya ni Mwanamara, ni Mtanzania na ana haki ya kufanya ushirikiano na mtu yeyote anaetaka,sitakubali kuona viongozi wachache wa serikali wasiokuwa na uadilifu wanahujumu maendeleo makubwa tunayofanya Tarime kisa yanafanywa na chadema, hatutakubali wataka sifa wanaotafuta vyeo eti kwa kuonesha wanaonea wapinzani wafanye hivyo Tarime.
Tarime hatujawahi kuwa waoga tutasimama imara na tutashinda kwasababu tuko kwenye haki.