Akihojiwa na mwandishi wa Dar mpya katika mjadala uliomhusisha Sosop na Heche juu ya kauli ya katibu mkuu CCM kuhusu hitaji la KATIBA MPYA kwamba.
1. Wanaodai Katiba mpya ni wanasiasa wanaotaka madaraka na sio wananchi.
Heche; Amemuuliza Chongolo ni muimbaji wa kwaya?au alitoa kauli hiyo kama mwanasiasa.Nani yupo madarakani kisiasa.
2. Wanaodai Tume huru haiwapelekei wananchi Ugali.
Heche; Wananchi ndiyo wanapeleka Ugali kwa CCM kupitia Tume ya uchaguzi iliyoteuliwa na katiba mbovu,hivyo Chongolo anawapumbaza wananchi.
3. Mliwahi waona wananchi wakionyesha mabango ya kudai Katiba kama sio wanasiasa?
Heche; Wananchi walishatoa maoni yao kupitia Tume ya Warioba ambayo iligharimu pesa nyingi na sheria ilipitishwa na Bunge kwa niaba ya wananchi.
1. Wanaodai Katiba mpya ni wanasiasa wanaotaka madaraka na sio wananchi.
Heche; Amemuuliza Chongolo ni muimbaji wa kwaya?au alitoa kauli hiyo kama mwanasiasa.Nani yupo madarakani kisiasa.
2. Wanaodai Tume huru haiwapelekei wananchi Ugali.
Heche; Wananchi ndiyo wanapeleka Ugali kwa CCM kupitia Tume ya uchaguzi iliyoteuliwa na katiba mbovu,hivyo Chongolo anawapumbaza wananchi.
3. Mliwahi waona wananchi wakionyesha mabango ya kudai Katiba kama sio wanasiasa?
Heche; Wananchi walishatoa maoni yao kupitia Tume ya Warioba ambayo iligharimu pesa nyingi na sheria ilipitishwa na Bunge kwa niaba ya wananchi.