Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
hiyo ni hofu sio heshima. mwanaume wa leo needs empathy, a caring heart na aweze kucheza na wanawe; the rough guy from yester-year is gone. Move on au tafuta mwanaume wa kijijini.
Unaona sasa, ndo mana wanaume wa leo mnapigwa vibao na wake zenu! Kalagabaho