Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

Maty

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
2,167
725
Jamani hapa JF watu tunakuja kupunguza stress, tumekerwa na wenzi wetu, tumekerwa na mabosi na mengine mengi. Kwa upande wangu huwa baada ya kero kama hizo naingia JF mara moja kupunguza hizo stress na nikitoka humu nimefarijika vya kutosha. Sasa kinachonishangaza utakuta watu wanaleta mastress waliyotoka nayo huko na kuyaingiza humu JF inafikia mpaka watu wanagombana humu haipendezi hata kidogo kama umeona thread na hujaipenda halafu una mahasira yako(ucjeniambia kwamba unakuwa hujijui kwamba cku hiyo umeamka vibaya) ipotezee tu nenda nyingine ambayo utaona unaipenda na sio unaanza kuudhi watu. Kuna hawa watu wawili ingawa wapo wengine wengi hawa nimeamua kuwatolea mfano tu Aspirin na Dark City hawa watu wana hekima sana hata kama kuna kitu kimewakera huwa wanajibu kwa ustaarabu sana huwa wanatumia maneno ambayo hayakeri na msg inakupata sawia mi naomba tuige mfano wa watu kama hawa ili JF iwe kweli ni home ya magreat thinkers sio mtu unatoka huko hata ufikirii unaanza kuporomosha maneno ya kukera wenzio. Nawasilisha
 
Jamani hapa JF watu tunakuja kupunguza stress, tumekerwa na wenzi wetu, tumekerwa na mabosi na mengine mengi. Kwa upande wangu huwa baada ya kero kama hizo naingia JF mara moja kupunguza hizo stress na nikitoka humu nimefarijika vya kutosha. Sasa kinachonishangaza utakuta watu wanaleta mastress waliyotoka nayo huko na kuyaingiza humu JF inafikia mpaka watu wanagombana humu haipendezi hata kidogo kama umeona thread na hujaipenda halafu una mahasira yako(ucjeniambia kwamba unakuwa hujijui kwamba cku hiyo umeamka vibaya) ipotezee tu nenda nyingine ambayo utaona unaipenda na sio unaanza kuudhi watu. Kuna hawa watu wawili ingawa wapo wengine wengi hawa nimeamua kuwatolea mfano tu Aspirin na Dark City hawa watu wana hekima sana hata kama kuna kitu kimewakera huwa wanajibu kwa ustaarabu sana huwa wanatumia maneno ambayo hayakeri na msg inakupata sawia mi naomba tuige mfano wa watu kama hawa ili JF iwe kweli ni home ya magreat thinkers sio mtu unatoka huko hata ufikirii unaanza kuporomosha maneno ya kukera wenzio. Nawasilisha
ha ha ha ha!
umeamua kunichana laiv mshkaji?
simu yangu si unayo?walau ungenitumia msg basi
 
Hilo uliloongea ni la ukweli ukiwa na stress ukija JF unapunguza na kuziondoa kabisa stress hizo panapokuja watu wanakujibu vibaya duuhhh stress inakuwa mara tano. si lazima sana kuchangia kila thread kama unaona haifai achana nayo kwani mpaka uanze kuandika ooohhh join date, posts, thanked na mengine kibao!!!! Tuwe wasitaarabu tu inatosha. Mdogo amuheshimu mkubwa na mkubwa amuheshimu mdogo ndo tabia njema!!!
 
stress is a measure of the internal forces acting within a deformable body
Stress = S = F/A
Where

S = Stress
F = Applied force, and
A = Cross sectional area
 
dah kweli..maty ndo mana nakupenda bila chenj...
kuna wengne apa tukiwa tumechoshwa na maboksi basi tukija jf ni kuchana watu tu na kuanza kusahihishwa miandiko na mengineyo...haaa wanaboa hao...yaaani ahh hakuna cha kuchangia..ni kukusanya madaftari tu na kuanza kusahihishwa miandiko na spelling inanikera jaman wakt jitu limeelewa umeandika nini lakin bado tu anataka alete grammar zake za elimu ya padre christford pale old mosh mwaka 1962..
ahh stak mie!!!!
 
dah kweli..maty ndo mana nakupenda bila chenj...
kuna wengne apa tukiwa tumechoshwa na maboksi basi tukija jf ni kuchana watu tu na kuanza kusahihishwa miandiko na mengineyo...haaa wanaboa hao...yaaani ahh hakuna cha kuchangia..ni kukusanya madaftari tu na kuanza kusahihishwa miandiko na spelling inanikera jaman wakt jitu limeelewa umeandika nini lakin bado tu anataka alete grammar zake za elimu ya padre christford pale old mosh mwaka 1962..
ahh stak mie!!!!

:tape::tape:
 
ha ha ha ha!
umeamua kunichana laiv mshkaji?
simu yangu si unayo?walau ungenitumia msg basi


hahaha nikuchane wewe diarest hiyo haiwezi tokea nikuchane hadharani mpenzi uwe na amani
 
Wako wengi my dia hao ni mfano tu wa wale wengi

Mi nadhani mkusanyiko huu wa wadau hapa jukwaani unaleta watu wa kila aina, kuanzia umri,makabila, jinsia, tabia, uelewa/ufahamu na mitizamo tofauti.Sasa sioni kama ni tatizo watu wakitoa mawazo yao humu kwa hisia tofauti baina ya mtu na mtu, hiyo ni kawaida sana tu!Na kikubwa utofauti huo ndo unaoleta changamoto zaidi!kuwa huru , jiachie na jione wewe ni mshindi kila wakati!
 
Wako wengi my dia hao ni mfano tu wa wale wengi

Pole sana Maty...kama huwajui watu basi watasumbua akili yako..Ila kwa kuwa wengine tumeona mengi zaidi ya haya basi ni rahisi kuelewa nini kinaendelea vichwani mwa watu.

Nimewamiss nyote humu ndani ....nimekuwa off kwa muda na nitakuwa nipo sipo...But you should know guys that..

I LOVE YOU SO MUCH..and my life without you is a misery!

DC
 
Mi nadhani mkusanyiko huu wa wadau hapa jukwaani unaleta watu wa kila aina, kuanzia umri,makabila, jinsia, tabia, uelewa/ufahamu na mitizamo tofauti.Sasa sioni kama ni tatizo watu wakitoa mawazo yao humu kwa hisia tofauti baina ya mtu na mtu, hiyo ni kawaida sana tu!Na kikubwa utofauti huo ndo unaoleta changamoto zaidi!kuwa huru , jiachie na jione wewe ni mshindi kila wakati!

Kujiachia inaruhusiwa tena kwa sana tu ila kwa lugha nzuri toka lini kugombana kukaleta changamoto? kuna mtu anaweza kukujibu humu anakua amekusema lakini lugha anayotumia watu wengine hawajui kama umesemwa ila wewe uliejibiwa unajua kabisa hapa nimesemwa na hii inafanya mtu uumie kuliko mtu akikugombeza unaweza hata usijue kosa lako
 
asante sana Maty.....kuna baadhi ya watu humu wana fustration zao wanakuja kucheulia wengine makande yao na uji wa limao...ovyoo kabisa.
 
asante sana Maty.....kuna baadhi ya watu humu wana fustration zao wanakuja kucheulia wengine makande yao na uji wa limao...ovyoo kabisa.

HA HA HA HA Nyama umenikumbusha kile kisa cha wiki iliyopita acha tu, umeamka salama lakini
 
HA HA HA HA Nyama umenikumbusha kile kisa cha wiki iliyopita acha tu, umeamka salama lakini

salama kabisa mpenzi...we wacha tu Finest,w atu waanatoka majumbani wameacha ustaarabu chini ya uvungu wanafanya kuchota kidogo na kutoka nao ukiwaishia njiani ndio hivyo tena wanajiropokea kama wamekula chakula kilichochacha.
 
salama kabisa mpenzi...we wacha tu Finest,w atu waanatoka majumbani wameacha ustaarabu chini ya uvungu wanafanya kuchota kidogo na kutoka nao ukiwaishia njiani ndio hivyo tena wanajiropokea kama wamekula chakula kilichochacha.

Pole sana dada,

Ndo sasa natambua ni kwa kiasi gani nimewamiss ndugu zangu nyoote.

Ila msishau kuwa hao watu ni muhimu sana ili maisha yaende. Hebu fikiria dunia bila vichaa kama akina G. W Bush ingekuwaje? Huo mchanyato ndo unafanya maisha yavutie. Ni vizuri kuwa na wahakachuaji mara moja moja!
 
Ni vema kuelewa na kukubali watu tuko na tabia tofauti, wengine wanabusara na wengine ndio ivyo tena...
 
waandishi +walimu wa miandiko mpoooooooo?
mbona kimya?
naona spelling error kibao umu..
njoo apa utetee grammar na si SEMANTIK...teh tehh...mwalimu wa HKL wapppppppppppppp baba?
 
Back
Top Bottom