Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,066
- 18,348
Jana ndugai amesema wanaandaa utaratibu wa kumpongeza jpm ambao utaratibu utatolewa leo!
Hebu tuwe wakweli raisi anapongezwa kwa lipi lililofanikiwa?
Kwasababu kama tume zilianza kuundwa toka enzi za mkapa!
Halafu hatujasikia hao acacia nao wanarespond vipi!
Je, ni kweli wamekubali kulipa hizo trillion 100+?
Mimi nafikiri bado mapema mno kuanza kupongezana kwanini tusiwe na subra katika hili! Tuone mafanikio yapoje?
Binafsi nisiwe mnafiki nitampongeza mheshimiwa raisi mwishoni baada ya kuona mafanikio yanayoshikika kabisa sio haya ya kuunda tume!
Hebu tuwe wakweli raisi anapongezwa kwa lipi lililofanikiwa?
Kwasababu kama tume zilianza kuundwa toka enzi za mkapa!
Halafu hatujasikia hao acacia nao wanarespond vipi!
Je, ni kweli wamekubali kulipa hizo trillion 100+?
Mimi nafikiri bado mapema mno kuanza kupongezana kwanini tusiwe na subra katika hili! Tuone mafanikio yapoje?
Binafsi nisiwe mnafiki nitampongeza mheshimiwa raisi mwishoni baada ya kuona mafanikio yanayoshikika kabisa sio haya ya kuunda tume!