mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,988
- 9,322
Huwa kuna muda nikitafakari uchaguzi wa mwaka jana. Kweli CCM eti wameshinda viti vyote Kilimanjaro nakosa hata pozi. Hata ukisema unajaribu ku-calculate unaona hapa kabisa equation hai balance.
Ila anyway nature ita deal nao mmoja baada ya mwingine wale wote waliopita pasipo baraka za wananchi.
Ila anyway nature ita deal nao mmoja baada ya mwingine wale wote waliopita pasipo baraka za wananchi.