businesslink
Senior Member
- Mar 20, 2019
- 129
- 113
Kuna msemo unaosema kawa ukitaka kumjua kiongozi tazama watu wake wakaribu waliomzunguka
Naamini kuwa Spika Job Ndugai lazima atakuwa kazungukwa na team nzito sana ya wasomi wa hali ya juu ambao wana uwezo, ujuzi na weledi uliotukuka.
Je team speaker ni akina nani? Elimu zao ni zipi? wamefanikiwa au wamefanikisha mambo yepi kwenye maisha yao ya public and Private? Na je waona mbali? Je wamefanyiwa extended vetting? Je wana ni watu ambao wameweka maslahi ya taifa mbele?
Je kwa haya yanayoendelea wana role zipi? Na hata kama maamuzi na matamshi ya spika kwenye hili sakata lake na CAG si ya spika moja kwa moja je hii team yake wamempa ushauri wenye maslahi kwa taifa?
Je hii ni team ya YES SPEAKER au ni watu embao wako independent minded with conviction? Je wako principled?
Naamini kuwa Spika Job Ndugai lazima atakuwa kazungukwa na team nzito sana ya wasomi wa hali ya juu ambao wana uwezo, ujuzi na weledi uliotukuka.
Je team speaker ni akina nani? Elimu zao ni zipi? wamefanikiwa au wamefanikisha mambo yepi kwenye maisha yao ya public and Private? Na je waona mbali? Je wamefanyiwa extended vetting? Je wana ni watu ambao wameweka maslahi ya taifa mbele?
Je kwa haya yanayoendelea wana role zipi? Na hata kama maamuzi na matamshi ya spika kwenye hili sakata lake na CAG si ya spika moja kwa moja je hii team yake wamempa ushauri wenye maslahi kwa taifa?
Je hii ni team ya YES SPEAKER au ni watu embao wako independent minded with conviction? Je wako principled?