macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,556
Du nilidhani ni free. Shukrani sana. Na kwa mfano ukiwa na bilion 1 ukinunua bonds ya muda wa mwaka unalipwa rate gani kama faida? Kama unajua tafadhali nifahamishe.Bonds inayo-mature kwa miaka 2 unalipa withholding tax(10%).
Bonds zinazo-mature kwa miaka 5,7,10 hizo haulipii w/holding tax(ziko exempted).