Wakuu hebu tujikumbushe kauli za ukawa wakati mzee lowasa amehamia ukawa.
Prof Lipumba: mzee lowasa sio mbaya ila chama chake ccm ndio kilikuwa kibaya
Mbowe: mzee lowasa atakuja na mtaji wa wapiga kura zaidi ya milioni mbili
.........
Endelezeni wakuu.
Prof Lipumba: mzee lowasa sio mbaya ila chama chake ccm ndio kilikuwa kibaya
Mbowe: mzee lowasa atakuja na mtaji wa wapiga kura zaidi ya milioni mbili
.........
Endelezeni wakuu.