Kwanini wasiwe na official document,yenye kutambulika kisheria na kiserikali kuliko kutumia vijikaratasi visivyo na tija yoyote ile.Mtikila alikua na haki kabisa ya kuikataa ile karatasi kwani hata mahakamani au serikalini hakuna anaeweza kusimama na kusema kua hii ni mali ya serikali..kijikaratasi kidogo hakina hata alama yoyote ya serikali yaani hata tiketi ya daladala inaafadhali.jeshi la polisi fanyieni kazi hiyo kauli ya mtikila msiichukulie poa hiyo ni changamoto tosha,huyo mzee mtikila anaakili kuliko mnavyomdhania,ni aibu kwa serikali kua na document isiyokua na muonekano wa utendaji.