Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,788
- 45,247
Ahsante,mkuu MISULI amenielewa swali langu. Hoja iliyo sababisha swali langu wewe umeielewaje?
Uncle, nadhani ulitaka umwoneshe ugumu wa kukiri kuwa "Anaamini hazikua risasi";Japo sijamwelewa MISULI kuwa hoja yake ni idadi ya risasi zilizompiga au ni haamini kama alijeruhiwa na risasi.
Hii issue ya TL imeichafua serikali yetu sana, na kama wapinzani walidanganya serikali isingekaa kimya bali ingetoa video/picha za CCTV cameras.