dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,121
- 49,368
ha ha ha! wa kupima mafenesi kwa vifaa vya binadamu!....kwa njia hiyo utakuwa kwenye nafasi nzr kufahamu dosari iko wapi..si hivyo walivyofanya, kama ni muungwana huyo prof. hata hiyo kazi alipaswa aache! huwezi kutoa ushauri dhaifu namna hii.