Hebu tuache kuzaana sasa, hali ni ngumu

Kule Kalambo mbona mbali sana yaani mpaka upande MAJINJA na vile vi-HIACE vya NGALINDA,,,, pitia hapoa TANDIKA AZIMIO uone mtoto kambeba mtoto waliyezaa na mtoto mwenziwe...
Aisee๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Eti Mtoto kambeba mtoto aliezaa na mtoto mwenzie.
 
Huu ni ukweli kwa 100%, nilienda kalambo(wilaya mojawapo ya mkoa wa rukwa), aiseee kila ukikutana na msichana mwenye umri kuanzia 20+ ni ana mimba au mtoto mdogo.
Nasikia mpaka ikapewa jina " .... Ya watotto!" Starehe yao kuu ni ngono na gongo
 
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.
Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.
Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu.
Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.
Serikali kupitia rais alietangulia, ilihimiza watu kuzaa, na agizo hilo halijatenguliwa.
 
starehe ya sisi maskini ni kujaamiiana na ndiyo maana Muumba kaiweka kuwa sawa - haijalishi wewe ni tajiri ama maskini, uwe umekula birian kuku ama mimi ndondo kabechi utam sawa sawa... Watoto wengi kwa sisi maskini wanaleta faraja, masuala ya watakula na kuvaa nini, matibabu, ada, malazi hayo mwenyezi Mungu atatoa riski - maana riski ipo mafungu saba.

Tuacheni tuzaane, tukose hela tukose na watoto - hapana aisee !!
 
Huu ni ukweli kwa 100%, nilienda kalambo(wilaya mojawapo ya mkoa wa rukwa), aiseee kila ukikutana na msichana mwenye umri kuanzia 20+ ni ana mimba au mtoto mdogo.
Uzazi umepungua mijini, vijijini na mashambani, kazi iendelee.
 
๐Ÿ‘๐Ÿพ-๐Ÿ‘๐Ÿพ-๐Ÿ‘๐Ÿพ for your avatar picture!.
 
NNime
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.
Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.
Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu.
Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya ku
Nimesoma comments lakin naona wengi wanongea kwa kijifurahisha ila nimeelewa unachokizungumza. Watu wanachukulia Ni masihara ila kuzaa bila mpangilia ni shida kwa nchi hasahasa Kama hutaweza kuwahudumia. Unakuta unazaa watoto watano au saba na hauna uwezo wa kuwahudumia, watoto wanalia njaa wakati wote au vibaya zaidi wanaranda mitaani wakiomba omba unadhani hii ni haki. Huu ni ukiukwaji wa haki za watoto. Au wengine wana zaa na kuwatupa chooni au jalalani au kuwaacha tu vituo vya watoto yatima, Sasa ndo Nini.
Nadhani hata hao vingozi wanaosema hivyo hawana fikra, kwasababu maisha yao yako vizuri hawajali upande wa pili.
Kwahiyo ndugu zangu, hukatazwi kuzaa Sana, ZAA.
Lakini hakikisha wakati unapoamua kuzaa sana, uwe na uwezo wa kuwalisha, kuwasomesha na kuwahudumia Watoto hao. Na sio kuwatesa viumbe vya Mungu.

Karibu Upige kura kwenye nakala zangu pia๐Ÿ™
 
Nasikia mpaka ikapewa jina " .... Ya watotto!" Starehe yao kuu ni ngono na gongo
Mkuu ni hatari sana aisee, yani kuna uwanja wa mpira wanaita "motochini" siku ya match watoto ni wengi kuliko watu wazima na vijana pale uwanjani.
 
Wakuu sio mbaya tukipashana kidogo, unajua sasa hivi maisha ni magumu sana, na kazi zipo chache unaweza kuona wamachinga walivojazana mijini.

Wewe umepanga mjini unategemea kuajiliwa na mtu bado unaendelea kuzaa watoto, hivi unadhani hao watoto watakusaidia au umewaleta ili wawe watumwa wa Illuminati Cabal? Maana viwanda vingi ni vya hao Illuminati na ndo wenye ajira.

Biashara nyingi zina collapse kutokana na mifumo ya fedha kuwa migumu, benki riba kubwa na wateja wachache.

Kilimo na chenyewe kigumu, hadi utumie mbolea ambayo nayo haikamatiki bei bado mbegu zipo juu. Ardhi ni hii hii haipanuki.

Maskini ni wengi sana na wanazaana kinoma, faraja yao ya ugumu wa maisha nibkwenye ngono, wanapikia kuni hivyo wanakata miti kinoma afu hawana akili na kupanda miti. Kutokana na ukataji wa miti maji pia yanakauka, mito iliyokuwa inatiririsha maji mwaka mzima inakauka, vyakula vimepungua sana kuwalisha binadamu na wanyama.

Kila anayezaliwa naye anahitaji kuwa na nyumba yake na kuendelea kuzaa. May be hii ndo sababu ya Illuminati kuwa 'so much obsessed with the population'. Wametuleta Condoms lakini watu hawatumii, Contraceptive bado haisaidii, Vasectomy nayo wanaume hawataki, Family planning nayo haisaidii.

Wakati dunia wanachanganyikiwa na ongezeko la watu kuna mtu anafurahia amezalisha mtoto anajisifia yeye ni mwanaume, nao wanawake ugumu wa maisha wanajipeleka kwa wanaume ili kupata mteremko wa maisha huko wanaishia kupachikwa mimba na kuzalishwa.

Uzazi bila shaka sio wa Mungu kuna kosa lilifanyika la creation, dunia haitoshi kuishi ndo maana pia wakubwa wametuleta viambata kwenye lishe na vinywaji ili kuzaa watoto walemavu ili mkome kuzaa hovyo.

Kuzaa sana ni kuongeza shida ya kuishi.

Tadhali sana sema kwa nafasi yako upunguze kuzaliana,binafsi yangu naombea sana nipate japo watoto 12
 
Tanzania hatuna overpopulation, eneo ni kubwa sana lisilokaliwa na watu kuliko kwenye watu hatujawafikia hata wachina
Akili ndogo unazani hili bango ni kwa ajili ya watanzania tu, kwa hiyo badala ya kuchukua tahadhari unataka tuwe wengi iwe tabu hapa nchini.
Hivi huoni wasukuma wanavohama na mifugo yao kuja kwenye malisho?
Wameharibu nchi yao kwa mifugo, kilimo na kukata mikaa hovyo, sasa wameharibu nchi yao wanavamia maeneo mapya wazidi kuharibu nchi.
 
Kuna watu nawaona humu akili zinapotea na hawana cha kuzungumuza, huwezi kumpangia mtu asizae kisa ni masikini ili hari unapanua domo lako ukiwa Duniani, je ungekuwa kiunoni kwa baba yako ungeijua hata hii JF.
๐—จ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜‚ ๐—ท๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ, ๐˜€๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ,
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom