Hebu tuache kuzaana sasa, hali ni ngumu

Hayaa! Kwa ni nini iwe nongwa kuzaa watoto wengi? Mama azae mpaka mayai yote yaishe tumboni uzazi ukome, hiyo ndiyo sifa nzuri, watoto waili au watatu hiyo ni idadi ndogo sana. Ulafi na uchoyo umeingia katika jamii. Watu wanataka waishi peke yao kwenye jumba kubwa wakati zamani kijumba kidogo kilitosha kuhifadhi familia ye watoto wengi
 
Kwa Tanzania tukifanya hivi victim watakuwa watoto, wataugua hakuna wa kuwapeleka hospital na hawatapelekwa shule sababu wengi practically ni kama wametelekezwa, baba na mama wanaondoka asubuhi wanaenda kulewa wasijue hata watoto wanaishije na wanashindaje. Bora Elimu na afya vikiwa cheap hata jirani anaweza amua kumsaidia mtoto aliyetelekezwa.

Mi naona tubadili sheria za utunzaji na uwajibikaji kwa watoto, tuhakikishe wazazi wanakuwa responsible na kila wanayemleta duniani, hata kama wazazi hamuishi pamoja, Nchi zilizoendelea wameweza kwenye hili.

Kama serikali yetu ingekuwa na viongozi bora sensa ya mwakani ingeleta mabadiliko makubwa sana.
Well said
 
Kama watu ni wengi kwa mtazamo wako jipunguze tu wewe, jitangulize mbele za haki

Maisha hata Kama ni magumu kiasi gani ila kwa upande mwingine ni matamu kisenge kijana

Kuishi ni bahati ila sio kwa sababu

Tunaishi wa neema ila sio kwa sababu
 
Watu wanazani kuzaa sana ni sifa.

Wazungu wenyewe wajanja, walishaliona hili mapema. Ndo maana hata kama mzungu ni tajiri kiasi gani, mwisho ni watoto wawili akizidisha sana watatu.

Kama vp watu watumie njia za waarabu.
Kwamba wazibue mitaro Daaaah we jamaaaaa....
 
Huu ni ukweli kwa 100%, nilienda kalambo(wilaya mojawapo ya mkoa wa rukwa), aiseee kila ukikutana na msichana mwenye umri kuanzia 20+ ni ana mimba au mtoto mdogo.
Nashangaa mnashangaa watoto kuzaliwa wakati nyie pia mlipitia hatua hizo hizo za ukuaji

Acheni ushamba uhai wa mtu mwingine unakuhusu Nini

Nyie ndio mkipewa udaktari ndio mtaongoza kwa kutoa mimba za watoto wetu huko mitaani

Pambana na hali yako, ata Kama wakizaliwa mabilioni maisha yataendelea Kama kawaida, wamepita wengi toka enzi na enzi mnashangaa watu vimilioni 60 tu wakati wachina Wana watu mabilioni na wanaongoza kwa uchumi duniani
 
Binadamu wa sasa hawakai maporini kama ngedere, wanakaa kwenye makazi maalumu yenye maji, umeme,barabara na huduma nyingine
Usipozaa haya mapori yanayozidi idadi ya watu yatakaliwa na nani?
 
Usiwe ngumbaru, hutakiwi kuzaa ili kujaza eneo, unapaswa kuzaa idadi ya watoto unaoweza kuwapa chakula bora, huduma za afya, shule nzuri na uhakika wa maisha ya kutotangatanga baada ya kumaliza masomo.
Tanzania hatuna overpopulation, eneo ni kubwa sana lisilokaliwa na watu kuliko kwenye watu hatujawafikia hata wachina
 
Huu ushauri wako ufanyie kazi kwanza wewe mwenyewe.
Kuna watu nawaona humu akili zinapotea na hawana cha kuzungumuza, huwezi kumpangia mtu asizae kisa ni masikini ili hari unapanua domo lako ukiwa Duniani, je ungekuwa kiunoni kwa baba yako ungeijua hata hii JF.
๐—จ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜‚ ๐—ท๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ, ๐˜€๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ,
 
Kuna mzee mmoja alizaa mtoto mmoja tu, na akajitahidi kumpatie elimu ya uhakika huko ng'ambo; mtoto alipomaliza elimu yake ya juu-PhD akarudi nyumbani, baada ya muda fulani kupita mtoto akaugua na hatimaye Mungu akampenda zaidi; hapo mzee alichanganyikiwa, hajui afanye nini. Kwa ujumbe huo,ukiamua kuzaa au kutokuzaa kabisa jiandae kwa lolote ukiwa mzee.
Mhhhh!! Hii sio yakusema,sehemu fulani nimeishuhudia mwenyewe!! Mwenye watoto 4 akimshambulia mwenye mtoto 1 kuwa ajitahd aongeze watoto!! Mwenzie alimjibu bado sijajaliwa namuomba Mungu!! Ikapita kama miaka 4, tukasahau siku wanaenda kwenye shughuli za kifamilia wakapata ajali watoto wote wajafariki na mama yao!! Akabaki hana mtoto hata 1!! Haya mambo ni kuomba Mungu tuuu!! Ndio ajuae na si kwa ujanja wetu!! Yule mwenye mtoto 1 bado yupo!! Uhai wa mtu umo mikononi mwa Mungu.
 
Nashangaa mnashangaa watoto kuzaliwa wakati nyie pia mlipitia hatua hizo hizo za ukuaji

Acheni ushamba uhai wa mtu mwingine unakuhusu Nini

Nyie ndio mkipewa udaktari ndio mtaongoza kwa kutoa mimba za watoto wetu huko mitaani

Pambana na hali yako, ata Kama wakizaliwa mabilioni maisha yataendelea Kama kawaida, wamepita wengi toka enzi na enzi mnashangaa watu vimilioni 60 tu wakati wachina Wana watu mabilioni na wanaongoza kwa uchumi duniani
Umeeleweka mkuu, nimeacha ushamba.
 
Back
Top Bottom