Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,958
- 8,071
Naomba unifikilie kwa hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So kifupi unataka kusema Rwanda hayo maradhi ya kuridhi yapo kwa kiasi kikubwaKuliko sehemu nyingine?Ni 'inbreeding' na sio 'inbreading'. Genetic diversity si urefu/ufupi tu, genetic traits ambazo zinaweza kuwa buffed up ni nyingu mno. Sasa tatizo la inbreeding ni kwamba magonjwa ya kurithi kama albinism au sickle celld anaemia yanakuwa yanajiyokeza zaidi kutokana na uwezekano mkubwa wa kupatikana homogenous chromosomes, yaani baba anaweza akawa na vinasaba vya sickle celled anaemia lakini haijimanifest kwa sababu ni heterogenous, na mama nae anaweza akawa na vinasaba vya sickle celled anaemia lakini haumwi kwa sababu ni heterogenous, sasa hawa wawili wakizaa mtoto kuna kuwa na 25% chance wakazaa mtoto mwenye seli mundu homogenous na hivyo ataumwa, tofauti na kama wange-diversify gene pool na kuoa mbal zaidi. Ni biology ya fm4 nadhani hii.
Ofcourse sio familia moja, ila ni kwamba wamezaliana koo watu wa karibu karibu kiasi hadi watutsi wote wanafanana sura sasa, na hiyo ni sababu ya inbreeding depression.Lakini sidhani Kama hawa ni familia moja mkuu
Research juu ya hilo, mimi nimesema ninachofahamu.So kifupi unataka kusema Rwanda hayo maradhi ya kuridhi yapo kwa kiasi kikubwaKuliko sehemu nyingine?
ukikuwa utaachaBggjofrfvjugnkod,.jbtgskkkki
Na sikui leo wala kesho...😛ukikuwa utaacha
keshokutwa utakuwa tayariNa sikui leo wala kesho...
😂😂😂😂😂😂😂Juzi nilipanda bus la kutoka Rwanda..jaman hawa watu ni watraaamuuuu😋😋😋!huyo wa kwanza kushoto nimemwelewa sana...mwanaume mwenye tege huwa ni added advantage😋😋!...sasa huyo akukumbatie💃💃💃
Bwana harusi ilitakiwa apimwe urefu wa ......oo vinginevyo italazimika avae bangiri
AISEE KAGAME CLAN!!!.. KWA WALE TALL GUYS KAMA MIMI TUPEANE LIKE ZA UTAMBULIZI WETU. IT'S SUCH AN HONOUR!! BUT I DON'T MEAN ANY BIASES.
WANASEMA SANA KUWA UMRI UKIENDELEA KUSONGA MBELE UNARUDI KUWA MTOTO HADI KIMAUMBILE UNARUDI CHINI. HAPO PK HAJAANZA KUSHIKA MKONGOJO NDIO ISSUE NYINGINE KABISAA.Yaani PK anaonekana andunje.
WAZEE WA ZAMANI LAZIMA WAWE NEUTRAL ALAFU INAONEKANA UJANA WAKE HAKUWA BISHOO ALIKUWA ANAVAA MAGWANDA YA JESHI MARA NYINGI, KWAHIYO TABU MARA MBILI...Mi nimeona PK ndio kavaa suruali bwanga wengine chupa
U welcome am here for u!!..Hapana..bus lilikua linatoka Rwanda..linakuja tz.yaan wamejaa humo..ni kirwanda tu..hadi sala wakasali kirwanda..wazuri jaman..alafu weusiiii!kama una rafiki wa kirwanda awe ke au me nilink naye mkuu...!
Hivi huyu mwamba atadhubutu kuwa na mchepuko kweli
Atajikuta ametekwa tuYani huyo jamaa ajifanye anachepuka. Ataisoma habari yake.