Shimbo aliviasa vyama kukubali matokeo. Sehemu nyingi sasa CCM wanayakataa matokeo na hata kuyachakachua. Amekaa kimya kana kwamba amesahau kuwa alitoa kauli kali, tena akiwa amekunja uso na kukodoa macho mithili ya mjusi aliyebanwa na mlango. Hebu iwapo kama ana mbavu ajitokeze sasa awakemee wana CCM.