Hebu pitia jua kwanini wa Magufuli ni muhimili chimbifu

Nathan Jr

JF-Expert Member
Sep 14, 2017
1,437
1,875
HII INAENDELEA KUNIAMINISHA KWAMBA KUMBE KUNA MHIMILI CHIMBIFU ZAID YA MINGINE
NA RAIS YUKO JUU YA MAHAKAMA NA BUNGE kwasababu zangu hizi
A. Rais ni sehem ya bunge, yaan bunge Lina sehem mbili, bunge na (rais)serikali hapo hapo ndani,
Lakin hakuna mahakama au sehem ambako jaji mkuu anatuma wa kumwakilisha bungeni, yaan mahakama si sehem ya bunge,

B. Rais anateua mtendaji mkuu wa bunge yaan

Ofisi ya Bunge
Katibu wa Bunge
Sheria ya 1984 Na.15 ib.14

87.-(1) Kutakuwa na Katibu wa Bunge ambaye atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye madaraka ya juu katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

(2) Katibu wa Bunge atakuwa ndiye mtendaji mkuu katika Ofisi ya Bunge na atawajibika kwa utendaji bora wa shughuli za Bunge kwa kuzingatia masharti ya Katiba hii na ya sheria inayohusika.

C. Rais anaweza kulivunja bunge japo nalo laweza kumwajibisha, lakin hakuna sehem ambako jaji mkuu anaweza hata kulivunja bunge au kumwajibisha rais,

D. Jaji mkuu anateuliwa na rais , lakin rais hateuliwi na jaji mkuu, na wala hana mamlaka juu ya rais ,

E. Rais ndo amiri jeshi mkuu, Ana mamlaka ya kuzima au kutangaza Vita, sioni mahali ambako panampa chembe hata moja spika wa bunge au jaji mkuu,

F. Mishahara yote na matumizi yote ya serikali na bunge na mahakama inalipwa na serikali ambayo inaongozwa na rais wa nchi ,

I. Rais ndo anawakilisha nchi nje na kimataifa , anatambulika rais, juzi nimepita nchi kadhaa , kama nne zote wanauliza habari ya magufuli rais wa Tanzania ,hakuna anayemjua ndugai wala jaji mkuu, na hawana sababu ya kumjua,

J. Maendeleo ya nchi yakiwepo au yakatoweka hautasikia mtu akisema Samweli sitta alituaharubia nchi, lakin utasikia kikwete kaharibu nchi,

Najiuliza hii wanayoita check and balance unamaanisha nini, hakuna usawa hapo ni uongo mtupu, rais yuko juu ya chochote

Lakin kuwa wanaoendelea kufarijiana kwamba mihimili yote mitatu ni sawa, hapana
 
Pia umesahau, rais ndo anaweza kumuagiza ndugai aunde kamati ichunguze Jambo na repot ipelekwe ikulu bila YEYOTE kuhoji
Lakin jaji mkuu Hana uwezo wa kumuagiza rais au spika, au spika hawez agiza rais au jaji mkuu,
 
Kuongezea ndo maana lowasa alikuwa anahonga kuutafta urais wala si ujaji mkuu wala uspika,

Ndo maana spika haijawahi pewa zawadi ya burungutu la dhahabu lakin kuna aliyepewa zawadi na hasemwi
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Pia umesahau, rais ndo anaweza kumuagiza ndugai aunde kamati ichunguze Jambo na repot ipelekwe ikulu bila YEYOTE kuhoji
Lakin jaji mkuu Hana uwezo wa kumuagiza rais au spika, au spika hawez agiza rais au jaji mkuu,
Tena jaji mkuu anapewa hela na kupangiwe itumike vip hahaha wakati ye Hana uwezo uo
 
And for your information yuko above the law. Ndiye ana sign mtu anyongwe na anaweza kumwachia huru hata kama jaji alishaamua anyongwe. Na jaji mwenyewe kateuliwa naye. So HE IS ABOVE THE LAW. Hakuna cha mihimili wala nini. Kama kwa mfano bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani naye lakini akakataa kuondoka atashindwa kuamuru wote waliomkataa wakamatwe?
 
And for your information yuko above the law. Ndiye ana sign mtu anyongwe na anaweza kumwachia huru hata kama jaji alishaamua anyongwe. Na jaji mwenyewe kateuliwa naye. So HE IS ABOVE THE LAW. Hakuna cha mihimili wala nini. Kama kwa mfano bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani naye lakini akakataa kuondoka atashindwa kuamuru wote waliomkataa wakamatwe?
Dah kweli
 
Mbona hukuandika kuhusu Hayati Mwl. Nyerere, Mzee Mwinyi , Mzee Mkapa hadi Dr.JK?

Maana , katiba ile ile iliyowapa hao marais wanne wa kwanza mamlaka kama aliyonayo Dr. JPM!

JPM, Hapa ni Kazi Tu,

Siasa na maandamano kafanyieni majumbani mwenu.
 
Mbona hukuandika kuhusu Hayati Mwl. Nyerere, Mzee Mwinyi , Mzee Mkapa hadi Dr.JK?

Maana , katiba ile ile iliyowapa hao marais wanne wa kwanza mamlaka kama aliyonayo Dr. JPM!

JPM, Hapa ni Kazi Tu,

Siasa na maandamano kafanyieni majumbani mwenu.
 
And for your information yuko above the law. Ndiye ana sign mtu anyongwe na anaweza kumwachia huru hata kama jaji alishaamua anyongwe. Na jaji mwenyewe kateuliwa naye. So HE IS ABOVE THE LAW. Hakuna cha mihimili wala nini. Kama kwa mfano bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani naye lakini akakataa kuondoka atashindwa kuamuru wote waliomkataa wakamatwe?
 
HII INAENDELEA KUNIAMINISHA KWAMBA KUMBE KUNA MHIMILI CHIMBIFU ZAID YA MINGINE
NA RAIS YUKO JUU YA MAHAKAMA NA BUNGE kwasababu zangu hizi
A. Rais ni sehem ya bunge, yaan bunge Lina sehem mbili, bunge na (rais)serikali hapo hapo ndani,
Lakin hakuna mahakama au sehem ambako jaji mkuu anatuma wa kumwakilisha bungeni, yaan mahakama si sehem ya bunge,

B. Rais anateua mtendaji mkuu wa bunge yaan

Ofisi ya Bunge
Katibu wa Bunge
Sheria ya 1984 Na.15 ib.14

87.-(1) Kutakuwa na Katibu wa Bunge ambaye atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye madaraka ya juu katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.

(2) Katibu wa Bunge atakuwa ndiye mtendaji mkuu katika Ofisi ya Bunge na atawajibika kwa utendaji bora wa shughuli za Bunge kwa kuzingatia masharti ya Katiba hii na ya sheria inayohusika.

C. Rais anaweza kulivunja bunge japo nalo laweza kumwajibisha, lakin hakuna sehem ambako jaji mkuu anaweza hata kulivunja bunge au kumwajibisha rais,

D. Jaji mkuu anateuliwa na rais , lakin rais hateuliwi na jaji mkuu, na wala hana mamlaka juu ya rais ,

E. Rais ndo amiri jeshi mkuu, Ana mamlaka ya kuzima au kutangaza Vita, sioni mahali ambako panampa chembe hata moja spika wa bunge au jaji mkuu,

F. Mishahara yote na matumizi yote ya serikali na bunge na mahakama inalipwa na serikali ambayo inaongozwa na rais wa nchi ,

I. Rais ndo anawakilisha nchi nje na kimataifa , anatambulika rais, juzi nimepita nchi kadhaa , kama nne zote wanauliza habari ya magufuli rais wa Tanzania ,hakuna anayemjua ndugai wala jaji mkuu, na hawana sababu ya kumjua,

J. Maendeleo ya nchi yakiwepo au yakatoweka hautasikia mtu akisema Samweli sitta alituaharubia nchi, lakin utasikia kikwete kaharibu nchi,

Najiuliza hii wanayoita check and balance unamaanisha nini, hakuna usawa hapo ni uongo mtupu, rais yuko juu ya chochote

Lakin kuwa wanaoendelea kufarijiana kwamba mihimili yote mitatu ni sawa, hapana
Kwan hzo sheria unazoziquote katunga maguful
Heading ipo kumuattack maguful kama maguful,kumbe unaenda kubwabwaja provisions za katiba na sheria zinazoipa TAASISI YA URAIS

By the way wamepita marais wengi kumbe wakitumia katiba na sheria hzo hzo,mliwaita marais wa kukwea pipa, dhaifu

Mnatufanya tufikirie kosa la maguful hasa ni lipi hasa,je n kuexercise hzo sheria na katiba au????

Jf ina watu wengi wajinga sana wanajiona wanajua sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hukuandika kuhusu Hayati Mwl. Nyerere, Mzee Mwinyi , Mzee Mkapa hadi Dr.JK?

Maana , katiba ile ile iliyowapa hao marais wanne wa kwanza mamlaka kama aliyonayo Dr. JPM!

JPM, Hapa ni Kazi Tu,

Siasa na maandamano kafanyieni majumbani mwenu.
Uwezo wako wakufikiri umeishia hapo kwenye kazi bila akili jaribu kufikiri alafu ukumbuke ni tangia lini wa tanzania tunadai katiba lakini matambara ya kijani mnatukandamiza kwa kutumia wananchi wasio na uelewa like you nyumbu kwahiyo katiba hatuwezi pambana na ufisadi hasa pale accacia wanapomhonga huyo aliyejuu ya sheria na ndio maana husikii juu ya makinikia tena ,pumbavu jifunze sio unaenda kama nyumbu wa serengeti
 
Nchi sio ya Raisi, Nchi ni ya Wananchi ambao ndio waliomuweka huyo Raisi na Serikali yake.

Usiwe na hoja kama za Raisi ambaye anapoongea utadhani yeye ndiye hutoka jasho kutafuta pesa za kuendesha serikali.
 
Back
Top Bottom