SectionTwenty
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 674
- 604
PESA ZA WATEJA WA M-PESA,TIGO PESA, AIRTEL MONEY NA Z-PESA WANAO FARIKI ZINAKWENDA WAPI?
Kutokana na makampuni karibu yt ya simu Tz kuwa na huduma hz za mobile money, Je inapotokea mteja amefariki, makampuni yanawajibika vipi kuhusu kurudisha pesa za mteja wao kwa msimamizi wa mirathi au warithi?
Swali hiili linazingatia kuwa wateja wanaoweza kutwa na mauti kwa vyovyote wanaweza kuwa na akiba kidogo kwenye ac zao za
mitandao ya simu wanayotumia!
Je kuna sheria yoyoteambayo imeweka bayana masuala haya?kwa wenzetu walio kwenye makampuni ya simu tafadhali mtusaidie
kwa hili!
Naomba kuwasilisha kwa mjadala!
Kutokana na makampuni karibu yt ya simu Tz kuwa na huduma hz za mobile money, Je inapotokea mteja amefariki, makampuni yanawajibika vipi kuhusu kurudisha pesa za mteja wao kwa msimamizi wa mirathi au warithi?
Swali hiili linazingatia kuwa wateja wanaoweza kutwa na mauti kwa vyovyote wanaweza kuwa na akiba kidogo kwenye ac zao za
mitandao ya simu wanayotumia!
Je kuna sheria yoyoteambayo imeweka bayana masuala haya?kwa wenzetu walio kwenye makampuni ya simu tafadhali mtusaidie
kwa hili!
Naomba kuwasilisha kwa mjadala!