Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
Hesabu hii imenipiga chenga kujua NEC imetumia uwiano gani katika utoaji wa wabunge wa viti maalum kwa Chadema kupewa "offer" ya kupeleka wabunge Wa viti maalum 19 wakati CCM iliyojizolea viti 262, karibia ya viti vyote vya ubunge nchini, iweze kupata viti maalum 94?
Kuuliza siyo ujinga, naomba tu nieleweshwe ni "ratio" gani imetumika ya kukokotoa kupata idadi hiyo ya wabunge?
Kuuliza siyo ujinga, naomba tu nieleweshwe ni "ratio" gani imetumika ya kukokotoa kupata idadi hiyo ya wabunge?