MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Je, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ya nchini Tanzania Dkt. Hassan Abbas na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu na Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa nani ni 'Boss' wa Mwenzake na nani pia anatakiwa kuwa Mnyonge kwa Mwenzake?
Sasa Generalist nasubiri Mirejesho yenu.
Sasa Generalist nasubiri Mirejesho yenu.