Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 2,866
- 3,646
kweli kabisa,yuko poa sana.Mungu azidi kumuweka ili wengine waendelee kuchota maarifa kutoka kwakeProf. RPC Temu ni mtu mwenye utu, muungwana Sana na pia mshika dini sana. Hana makuu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisa,yuko poa sana.Mungu azidi kumuweka ili wengine waendelee kuchota maarifa kutoka kwakeProf. RPC Temu ni mtu mwenye utu, muungwana Sana na pia mshika dini sana. Hana makuu kabisa
Sawa mzee wa meta ila umemsahau mageta na kimatale usiseme huwajuiProff Juan Mwaikusa, Dr Mvungi mlinifunza mambo ya msingi sana, kitu kimoja cha msingi mlinifunza petience, Mungu awarehemu,sijamsahau mwl Simwaba na Mtefu waalimu wangu wa sekondari mkae pema,
sorry na Mwalimu Maufi wa shule ya msingi sijakusahau ukae pema peponi...
Sorry mleta mada umelenga wahadhiri but....
wengine we are so touched na waalimu waliotujengea misingi....
kabla ya kufika vyuo...
see you in the next life
Fadhili Bwagalilo
Nawakumbuka vizuri sana!Sawa mzee wa meta ila umemsahau mageta na kimatale usiseme huwajui
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Prof. Komba kwa sasa yupo Ruaha University College (RUCU) Iringa akiwa VC-AccademicsProf Komba sijui yuko wapi huyu mzee siwezi kumsahau kwenye EF100. Anauliza what is real, what is beauty? Mnacheeka kumbe course Inaisha hapo.
Dr Mbura ni mzima moto tu
Unawakumbuka Prof. Othman, Prof. Nkunya na Prof. Mkayula?Professor Mulokozi wa Chemistry, UDSM,1978, alikuwa makini sana katika fani yake. Kulikuwa na mwanafunzi ambaye alipata sifuri kwenye practical yake moja. Akalalamika kwamba yeye hawezi kupata alama hiyo na kwamba kaonewa. Professor akajibu " hata kama angekuja Mama yangu toka Bukoba na akajibu kama ulivyojibu wewe, ningempa alama sifuri". Kesho yake yule mwanafunzi akabadili masomo yake na kwenda kusomea Arts.
HS sio????Kibera UDOM jamaa alikuwa mzungu mweusi yaaan nikija kumeet nae day moja nampa hata ten
Mkuu alikuwa anaeleweka? Ukisoma kitabu chake "How Europe Underdeveloped Africa " ni kigumu kwa kiwango chake.Professor Walter Anthony Rodney UDSM enzi hizo.
Mdachi mwamba alijua kutukamata aseeeh, Mahugija Sina taarifa Kama kawa Prof, alikuwa akivuta tu suruali inashuka slides, mgina mtu pouwa sana, na mwenzie Mdoe!! Mobufu alikuwa Head department of chemistry Mhinzi alikuwa anavunja inorganic chemistryDr. Mgani...
Dr. Mwakaboko
Prof. Mubofu(R.I.P)electrochemistry mtaalam
Prof. Mdoe
Prof. Mahugija
Dr. Mdachi (R.I.P) Mtaalam wa enantiomers
Prof. Mhinzi
Dr. Munissi
Dr. Nyandoro
Prof. Ester Lugwisha
Dr. Kinunda
Dr. Philip
Dr. Mgina
Dr. Regina
Dr. Kessy
Prof. Mkayula-Gwiji wa thermodyanamics
Prof. Othman
Prof. Buchwasheija
Prof. Nkunya
Prof. Mosha
Dr. Ngassapa
Hawa wote ni kutoka idara ya kemia-UDSM
Mahugija kawa prof aseee.....tangu mwaka jana ni prof. Hao ni vichwa vya idara ya kemiaaa aseeee...Mhinzi bado anakata inorganic kama kawaMdachi mwamba alijua kutukamata aseeeh, Mahugija Sina taarifa Kama kawa Prof, alikuwa akivuta tu suruali inashuka slides, mgina mtu pouwa sana, na mwenzie Mdoe!! Mobufu alikuwa Head department of chemistry Mhinzi alikuwa anavunja inorganic chemistry